Walimu nchini wametega
sikio kwa serikali juu ya madaraja, posho ya mazingira na mshahara mpya.
La sivyo ni mgomo baridi
Tatizo ni kuwa kuna watu humu jf wanajifanya kuwa wao ndo wana uchungu na walimu kuliko walimu wenyewewalimu hawako siriaz,ndo maana wanafanywa kama watoto wadogo kwa sababu:
-kwanza hawajui wanachodai.
-pili hawana mbinu za kisayansi za kudai.
-Tatu walimu hawako organised
-Nne chama cha walimu kimejaa mashushu na wasaliti wengi.
-Tano walimu wanahubiri kitu wasichokiamini.
Maoni yangu ni kama wanaamua kugoma tena basi kwanza watangaze kutokuwa na imani na Rais wao na Mwanasheria wao wa CWT.
Kwani hatuja goma? Mimi niliposikia Celina Kombani anasema eti anaongeza mishahara kwa asilimia moja ziaidi ya ile nyongeza ya mwaka jana, nikawatangazia wanafunzi mgomo mwingine usio na kikoma hadi serikali itakaposikia madai yangu!!! Nipo kwenye mgomo hapa! Nawashauri waalimu wenzangu mniunge mkono ili tuitie adabu serikali na wazazi wa watoto hawa walioiweka serikali SIKIVU YA CHAMA CHA MAPINDUZI MADARAKANI!!!
Thibitisha mkuu kauli yako hiyokuna waalimu walicheleweshwa mwaka 2011 mpaka leo ni kilio tu.wanackilizia.
Ila mimi napingana Kabisa na Aproach inayo tumiwa na walimu Kugoma, Kwa nini wasiige wenzao wa Kenya? Walimu wa Keny wao wanapambana na Serikali yao na si kuwafelisha watoto kwa sababu wanajua Madhara yake kwa baadae na itakuja kuwrudi wenyewe,
Walimu wa Bongo ni waoga Mno, na swala la Kufelisha watoto halikubaliki kamwe, ni kwa nini Msigome live?
Duh Mchezo mwingine wa kuigiza tena!Waalimu wa Tz ni waoga ambao kwa kiasi kikubwa unachangiwa na umasikini na ufukara walio nao.Naweza kuwafananisha na Wanaojiita waandishi wa habari hapa Tz kwani wooote wako disorganised.Ila tuone huenda ngoma inogile..
Hao nyumbu tu hawana lolote!
Umemsikia nani mkuu:crying: mbona waziri kombani hakuna mahala ametangaza mshaharabutapanda kwa asilimia fulani. Acha uzushi na inaelekea wewe ni miongoni mwa watu wanaoendekeza mifarakano katika jamii. Umebaki kuvuliwa chupi tuKwani hatuja goma? Mimi niliposikia Celina Kombani anasema eti anaongeza mishahara kwa asilimia moja ziaidi ya ile nyongeza ya mwaka jana, nikawatangazia wanafunzi mgomo mwingine usio na kikoma hadi serikali itakaposikia madai yangu!!! Nipo kwenye mgomo hapa! Nawashauri waalimu wenzangu mniunge mkono ili tuitie adabu serikali na wazazi wa watoto hawa walioiweka serikali SIKIVU YA CHAMA CHA MAPINDUZI MADARAKANI!!!
Kwani hatuja goma? Mimi niliposikia Celina Kombani anasema eti anaongeza mishahara kwa asilimia moja ziaidi ya ile nyongeza ya mwaka jana, nikawatangazia wanafunzi mgomo mwingine usio na kikoma hadi serikali itakaposikia madai yangu!!! Nipo kwenye mgomo hapa! Nawashauri waalimu wenzangu mniunge mkono ili tuitie adabu serikali na wazazi wa watoto hawa walioiweka serikali SIKIVU YA CHAMA CHA MAPINDUZI MADARAKANI!!!
Kwani hawajagoma?