opportunist2012
Member
- Feb 8, 2012
- 92
- 8
Baada ya serikali kushindwa kufikia muafaka na Chama cha walimu,walimu kugoma nchi nzima mpaka serikali itekeleze mapendekezo ya chama cha walimu.Baadhi ya mapendekezo hayo ni nyongeza ya mshahara na posho ya kufundishia.Hata hivyo serikali imesema mgomo huo ni batili kwani suala hili liko mahakamani.