mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 802
Nınachojua tuition kuzikomesha itakuwa ngumu kwa wazazi wenyewe ndiyo wanaziratibu kwa hapa Dar.Ukidhibiti tuition za shule ambazo kimsingi nı cheap,watoto watatafuta za mtaani ambazo nı ghali na sio salama!
nakubaliana nawe, tuition zinaletwa style mby, kwenye nacho watapanga deal na waalimu