Inasikitisha sana katika taifa hili bado kunamatatizo ya kucheleweshewa mishahara. Hivi wahusika kwanini wasifukuzwe kama wameshindwa kuwajibika? Eti sababu
Anae sain payrow yupo safari kikazi. Hivi mfanyakazi huyu tunamkomboa au tunamdidimiza? Je, chama cha walim hamlioni hili?
Chama cha wafanyakazi hamlioni?
Anae sain payrow yupo safari kikazi. Hivi mfanyakazi huyu tunamkomboa au tunamdidimiza? Je, chama cha walim hamlioni hili?
Chama cha wafanyakazi hamlioni?