Tangu j. tatu walimu jijini hapa wanakaguliwa vyeti.niwaulizeni wana jf hili zoezi na kwenu lipo?wanakagua yafuatayo:cheti cha fm 4,ualimu,leaving certificates na result slips.sababu wanataka kubaini vyeti feki.:yawn:
Tangu j. tatu walimu jijini hapa wanakaguliwa vyeti.niwaulizeni wana jf hili zoezi na kwenu lipo?wanakagua yafuatayo:cheti cha fm 4,ualimu,leaving certificates na result slips.sababu wanataka kubaini vyeti feki.:yawn:
Wangeanza na Mawaziri na wabunge pia katika mashirika ya umma ambayo huliingizia Taifa hasara kila mwaka sababu ya vihiyo waliopo huko.Sijaona ukaguzi huu wa walimu Dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.