Walimu hawatambuliki serikalini

Walimu hawatambuliki serikalini

OIL CHAFU

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2012
Posts
996
Reaction score
776
Kama mtakavyokumbuka, Boniface Jacob, diwani wa Ubungo (CHADEMA), na mlinzi Hemed Sabula wanatuhumiwa kwa kumteka na kumpiga aliyekuwa mlinzi wa Dr. Slaa, Bwana Kagenzi. Kesi iko mahakamani. Mojawapo ya masharti ya dhamana kwa watuhumiwa ni kama ifuatavyo;

"Hakimu Lema aliwataka washtakiwa kuwa na wadhamini wawili kila mmoja ambao wanatoka katika taasisi inayotambulika au serikalini isipokuwa walimu. Wadhamini hao walipaswa kusaini hati ya dhamana ya maandishi ya Sh milioni 10."

KWA mujibu wa tamko hilo, tafsiri ninayoipata ni kuwa taasisi ya ualimu haitambuliki serikalini na pia mahakama imeamini kuwa hakuna mwalimu anayeweza kuwa na mali yenye thamani ya hiyo hela? What is wrong with ualimu? Pia, walimu wanaozungumziwaq hapa ni wepi? Wa shule za msingi?, Sekondari? Vyuo vya elimu ya juu? Hata maprofesa wa vyuo vikuu? Au wote?

Ama kweli nchi hii haikosi vituko. Na kwa ujinga wa walimu wa nchi hii, watanyamaza kimya.Walimu wa nchi hii amkeni, kumekucha.
 
Pitia kwanza vifungu vya sheria ili ujue sababu iliyojengwa ndiyo uje kusema wamezingatia vitu vingi,sababu moja wapo mtuhumiwa katika kupata wadhamini haitakiwi awapate kirahisi kwakuwa ni mtuhumiwa inakuwa ni sehemu ya adhabu,

sabula na mwenzake tayari wamepatikana na hatia kwahiyo tayari mahakama imewatia hatiana kwahiyo masharti ya dhamana lazima yawe magumu kidogo ili iwe ni sehemu ya fundisho,

Inafahamika walimu wanapatikana kwa wingi maeneo yote hivyo kwa gaidi kama sabula na wenzake haitakuwa shida kuwapata,

ukisoma zaidi sheria itakupa majibu mengi mazuri ila shida yenu bawacha hata kusoma shida.
 
Kesi ya msingi ya kupanga mauaji naona inazidiwa nguvu hapa,kweli CCM ni kama kuku aliyekatwa kichwa.
 
Hakika wewe ni pwagu sana. Kumbuka miongonimwa watumishi wa serikali ambao hawapaswi kuwadhamini watuhumiwa ili wasiathiri kazi zao ni pamoja na walimu. Hii iliwekwa kwa makusudi kwa lengo la kuwalinda walimu na kuwafanya watumie muda mwingi kufundisha bafsla ya kuhangaika na kesi
 
Hakika wewe ni pwagu sana. Kumbuka miongonimwa watumishi wa serikali ambao hawapaswi kuwadhamini watuhumiwa ili wasiathiri kazi zao ni pamoja na walimu. Hii iliwekwa kwa makusudi kwa lengo la kuwalinda walimu na kuwafanya watumie muda mwingi kufundisha bafsla ya kuhangaika na kesi
Unajifanya huna kichwa endeleeni kutudharau walimu mtaona tu kama siyo leo kesho Mungu atujalie uzima.
 
Mjepo,Unampa fundisho mtu ambaye hajatiwa hatiani?
 
Wanaofundisha vyuo vikuu siyo walimu kama ambavyo wengi mnadhani. Hawa wanaitwa wahadhiri. Ndio maana hakuna vyuo kwa ajili ya kusomea ualimu wa chuo kikuu
 
Hawa ccm ni wajanja sana wanajua walimu weng ni cdm hivyo wasingeweka limitation hiyo makamanda weng wangetokea kuwadhamin
 
Hakika wewe ni pwagu sana. Kumbuka miongonimwa watumishi wa serikali ambao hawapaswi kuwadhamini watuhumiwa ili wasiathiri kazi zao ni pamoja na walimu. Hii iliwekwa kwa makusudi kwa lengo la kuwalinda walimu na kuwafanya watumie muda mwingi kufundisha bafsla ya kuhangaika na kesi


"Endeleeni na dharau zenu kwa walimu,endeleeni kututukana ila dawa yenu ipo jikoni.Eti mwalimu asiangaike mahakamani abaki anafundisha,kwani yeye ndiye amekuwa punda,afisa kilimo yeye hatakiwi kubaki ofisin anahudumia wananchi?WALIMU TUPO KWENYE KAMPENI KUBWA NA YA CHINI CHINI,mwisho wa siku mtaona matokeo ya kudharau walimu.Endeleeni na upofu wenu wa dharau!
 
Chadema ni mpango wa Mungu, kila kinapo hujumiwa, mipango hiyo dhalimu huwa backfire wenyewe.
 
Pitia kwanza vifungu vya sheria ili ujue sababu iliyojengwa ndiyo uje kusema wamezingatia vitu vingi,sababu moja wapo mtuhumiwa katika kupata wadhamini haitakiwi awapate kirahisi kwakuwa ni mtuhumiwa inakuwa ni sehemu ya adhabu,

sabula na mwenzake tayari wamepatikana na hatia kwahiyo tayari mahakama imewatia hatiana kwahiyo masharti ya dhamana lazima yawe magumu kidogo ili iwe ni sehemu ya fundisho,

Inafahamika walimu wanapatikana kwa wingi maeneo yote hivyo kwa gaidi kama sabula na wenzake haitakuwa shida kuwapata,

ukisoma zaidi sheria itakupa majibu mengi mazuri ila shida yenu bawacha hata kusoma shida.

Hivi unajua maana ya maneno hayo au umeandika bila kujua ukitiwa hatiani kuna dhamana kweli.
 
Pitia kwanza vifungu vya sheria ili ujue sababu iliyojengwa ndiyo uje kusema wamezingatia vitu vingi,sababu moja wapo mtuhumiwa katika kupata wadhamini haitakiwi awapate kirahisi kwakuwa ni mtuhumiwa inakuwa ni sehemu ya adhabu,

sabula na mwenzake tayari wamepatikana na hatia kwahiyo tayari mahakama imewatia hatiana kwahiyo masharti ya dhamana lazima yawe magumu kidogo ili iwe ni sehemu ya fundisho,

Inafahamika walimu wanapatikana kwa wingi maeneo yote hivyo kwa gaidi kama sabula na wenzake haitakuwa shida kuwapata,

ukisoma zaidi sheria itakupa majibu mengi mazuri ila shida yenu bawacha hata kusoma shida.
Acha ukengenwewe, sheria gani na kifungu kipi, vitaje hapa sio unaongea kama upo sokoni unatangaza bei ya nyanya zilizooza.mahakama ingekuwa imewatia hatiani kama ulivvyosema wangekuwa waneshahukumuwa tayari, usiongee vitu kama hujui. Unajua maana ya kutiwa hatiani na mahakama.
 
Hakika wewe ni pwagu sana. Kumbuka miongonimwa watumishi wa serikali ambao hawapaswi kuwadhamini watuhumiwa ili wasiathiri kazi zao ni pamoja na walimu. Hii iliwekwa kwa makusudi kwa lengo la kuwalinda walimu na kuwafanya watumie muda mwingi kufundisha bafsla ya kuhangaika na kesi

Vipi kuhusu madaktari mkuu, je kazi zao haziathiriwi na kesi?
 
Hakika wewe ni pwagu sana. Kumbuka miongonimwa watumishi wa serikali ambao hawapaswi kuwadhamini watuhumiwa ili wasiathiri kazi zao ni pamoja na walimu. Hii iliwekwa kwa makusudi kwa lengo la kuwalinda walimu na kuwafanya watumie muda mwingi kufundisha bafsla ya kuhangaika na kesi
ni dharau hii. yaani walimu tu ndiyo kada ya watu wanatakiwa kufungiwa kwenye kazi zao na wengine kama madaktari, wanajeshi, marubani, maenjinia wanaweza kudhamini kwa sababu kazi zao siyo mhimu sana kama waalimu. mtawadharau mpaka lini hao walimu?
 
Walimu Tanzania wanadharaulika sana,shemeji yao kawatelekeza.Na ndio sababau uhalijojo wa Elimu ya Tanzania.
Walimu tafakarini,mchukue hatua."Wajinga wamekamatia nchi"
 
Back
Top Bottom