nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Haa haa walimu wengi ni walamba miguu ya viongozi hasa ccm. Wacha waburuzwe tu.
Wanaofundisha vyuo vikuu siyo walimu kama ambavyo wengi mnadhani. Hawa wanaitwa wahadhiri. Ndio maana hakuna vyuo kwa ajili ya kusomea ualimu wa chuo kikuu
Tatizo walimu wana mikopo sana na wanaacha kazi ovyo ovyo
Hakika wewe ni pwagu sana. Kumbuka miongonimwa watumishi wa serikali ambao hawapaswi kuwadhamini watuhumiwa ili wasiathiri kazi zao ni pamoja na walimu. Hii iliwekwa kwa makusudi kwa lengo la kuwalinda walimu na kuwafanya watumie muda mwingi kufundisha bafsla ya kuhangaika na kesi
Pitia kwanza vifungu vya sheria ili ujue sababu iliyojengwa ndiyo uje kusema wamezingatia vitu vingi,sababu moja wapo mtuhumiwa katika kupata wadhamini haitakiwi awapate kirahisi kwakuwa ni mtuhumiwa inakuwa ni sehemu ya adhabu,
sabula na mwenzake tayari wamepatikana na hatia kwahiyo tayari mahakama imewatia hatiana kwahiyo masharti ya dhamana lazima yawe magumu kidogo ili iwe ni sehemu ya fundisho,
Inafahamika walimu wanapatikana kwa wingi maeneo yote hivyo kwa gaidi kama sabula na wenzake haitakuwa shida kuwapata,
ukisoma zaidi sheria itakupa majibu mengi mazuri ila shida yenu bawacha hata kusoma shida.