Walimu hatuna thamani

Walimu hatuna thamani

Tatiz mnaongea sana utafikir ninyi ndo mnafanya kaz peke yenu ivi uliwah kufuatilia mishahara ya wafanyakaz wengine ambao sio wakuu wa idara (msiwe mnaongea ongea sana we acha kaz kuna Mtu kakulazimisha kufanya kaz iyo .mnaniboa sana na kulalamika ovyo utafikiri mliambiwa mkiacha kaz mtafungwa jela
hao uanaosema wanamshahara sawa na walimu, wao wana posho za katikati ya mwezi, posho za vikao na marupurupu mengine yanayowafanya wawe tofauti na walimu.
walimu kuacha kazi sio suluhu ya tatizo.
 
Walimu mnathamani wakati wa uchaguzi,mnabembelezwa muichague kijani mkichagua mnatelekezwa
 
Jamani walimu tujiongeze sina ushauri mwingine
 
Sio siri mi ningekuwa serikali ningepunguza mishahara kwa walimu haiwezekani shule ipo mjini kila kitu kipo alafu matokeo ya necta wanatoka wanafunzi kum Kati ya mia mbili alafu mda wenu wa kazi ni kidogo Sana almost masaa sita hadi Saba kwa siku
Elimu inatizamwa kwa vitu vingi ,shule kuwa mjin sio kigezo cha mwanafunzi kufahuru ,nadhan ndio maana hujawa serikali maana hujui hata serikali nini! Na kwa analysis zako hapo , hufai hata kuwa sehemu ya serikali maana utakuwa na mawazo ya hovyo
 
Walimu acheni kulalamika sana, mbona Kule afya kuna madai kibao lakini hawalalamiki?
 
hao uanaosema wanamshahara sawa na wwalimu wao wana posho za katikati ya mwezi, posho za vikao na marupurupu mengine yanayowafanya wawe tofauti na mwalimu. pia usitake kufanya ulingaanisho wa walimu na kada zingine, walimu ni muhimu kipekee kwani ndio wwanaoandaa wataalamu na viongozi.

pia unasema mwalimu atumie muda muda wa zaida. muda uanouita wa ziada unatumika ktk kujiangaa vizuri ili kumpataia mwanafunzi virutubisho muhimu. ikiwa walimu watakua bize tu kutumia muda wa ziada kufanya shughuli zao binafsi, basi inamaana hawataajiandaa ktk madesa na hivyo ubora wa ufundishaji hautakuepo, na hivyo tutapata wataalamu na viongozi wa sampuli ya Bashite
Wewe endelea kutumia muda wa ziada kuwaandalia virutubisho wanafunzi badala ya kupigania maisha yako kuongeza kipato cha ziada!!teeh..teeh yani walimu bhana hivi unaijali vipi serikali ile hali wewe inakupuuza miaka 50+ ya uhuru,,?Nikumnukuu mdau hapo juu 'dawa ni kufelisha kuvunja rekodi,serikali ni kuongea nayo kwa vitendo sio maneno'' maana kwa maneno bwana yule haaimbiliki na jana Lindi kadai kua sirikali yake sio ya kutishwatishwa na sidablyutii'
 
Wewe mwalimu kweli? Kwa mwandiko huu?

Poleni kwa yote! Ndo nchi yetu hii.
 
!
!
Jifunze kuandika vizuri mwalimu. Maksi tunatafuta darasani, mtaani tunatafuta pesa. Endelea kuisoma namba na wito wako. Kwanza tuna mpango wa kurudisha sare kwa waalimu pia ili mfaidike kwenye daladala teh teh teh.
Sare co mbaya n kawaida tuuu....mbn police wana sare. Manes pia....wanajeshi pia sasa cion ajabu....
 
mwalimu em fanyeni kufelisha madogo.. yaan hakikisheni watakaofeli mwakani wanavunja record ya mwaka huu... yaan mnaongea kwa vitendo mbona serikali itatia adabu... bampa tu bampa hakuna haja ya kulalamika!
Unafelisha watoto na kuwaharibia maisha yao ya huko mbele kisa!!!??
 
Nanyi mmezidi mno kulalamika,mbona mishahara yenu inalingana kada nyingine,mf Kilimo,Watendaji wa Kata etc.
Lkn wao hawalalamikii mshahara
(Labda ungesema posho,sawa)

Kuhusu muda,walimu mna muda mwingi sana,mf kuanzia Ijumaa hadi Jpili mko free.
Hata baada ya saa za kazi hampati usumbufu wowote.
(Tumia muda vizuri kujishughulisha na mambo mengine)
Kweli tena! Wana muda saana tena ukute shule zingine wanatoka sa tisa mchana!!! Huo mda uliobaki badala ya kufanya mambo ya maana sijui wanautumia kwa kazi gani
 
asakari aliyefeli kidato cha nne anapokea jumla ya Tsh: 600,000 kama posho na mshahara baada ya maakato yote.
mwalimu alifaaulu kidato cha nne, akafaulu kidato cha sita, akafaulu chuo kikuu, anapokea jumala ya Tsh: 400,000 baada ya makato yote.

acha kuleta ushabiki ktk mambo usiyoyafahamu vizuri
Daah! Ni kweli mshahara mdogo sana
 
Back
Top Bottom