Walimu acheni ujinga hebu nendeni sehemu mlizopangiwa.

Nyie walimu mna nini? Kila siku mlikuwa mkililia hizo post...mmezipata mnaanza tena kuleta makuu...mara kule bush sana siendi, bora nibaki skan....wengine wamekazana na kubadilishana..kafanyeni kazi nyie tena mtue chini mzgo wa ujinga.
MIMI SINA LA KUSEMA COZ wewe unafaa kuitwa majina yote yanayo mfaa kwa asie na kichwa kizuri. yaani tukuonyeshe milembe hospital ilipo coz you cant talk this nonsence kwenye forum mhim kama hii....... TAKE AWAY UR STUPIDITY!!!!!!!!
 
Tuwe wakweli tu wengi tulijua post hizo zitakapotoka itakua faraja kwa ndugu zetu ila matokeo yake wengi kati ya hao walimu hawataki kwenda vituo walivyopangiwa kila mtu akitoa sababu zake wamesahau kwamba MKONO MTUPU HAULAMBWI pia sidhani kama wanatambua kwamba chances rarely come twice, ukiwa kwenye system ya ajira unaweza hama nk tofauti na ukiwa mtaani unasota yangu ni hayo tu
 
Kila siku nasema na sitaacha kusema toka nipo mdogo hadi nakua mtu mzima wizara ya kisenge kupata kutokea kama wizara ya elimu, decision zao nyingi ni za kipumbavu huwezi amini kama zinatolewa na mwishoni wahanga wa maamuzi hayo wanakuwa wengi
*mtu unampa fomu ajaze anapotaka kwenda fanya kazi halafu alikochagua mnapapotezea mnamchagulia nyingi na kuna uozo mwingine kibao tena as if wako smart katika kazi once walimu wakisharipoti ndo inakula kwako na usumbufu juu katika
1.kupata subsistence allowance hd utakaposettle
2.kuingizwa katika payroll upate mshahara coz kama haupo ktk payroll imekula kwako
3.bado hapo hawajakuambia mshahara wako wamekosea unaingia wilaya nyingine mfano unafundisha shule iko wilaya ya ilala ila mshahara unaambiwa unatokea wilaya ya kinondoni yani kero,kero,kero nawatakia mema kwa mtakaoripoti na wale mtakaogoma kwenda kuripoti ili muone picha halisi ya namna nchi hii INAVYOENDESHWA na si KUONGOZWA,gud luck
 
Ajira ngumu jamani..popote maisha ili mradi mkono uende kinywani..vijana acheni nyodo jamani...wahenga walisha sema.....mchagua jembe si mkulima
 
Back
Top Bottom