Uchaguzi 2020 Walidhani wananchi wanataka ndege kumbe wananchi wanataka uhuru kwanza

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Kati ya Jambo linaloigharimu CCm kila siku Ni kuwekeza kwa Mwenyekiti na dola kuliko kuwekeza kwa wananchi.

Wananchi kwa namna Hali ilivyo wanatambua hata ungekuwa na utajiri mkubwa kiasi gani lakini watu wakakosa Uhuru ipo siku utajiri huo utapotea.

Tunajenga vitu na ni Jambo jema ila tulipokosea nikuthamini vitu tukasau utu. Hakuna daraja wala ndege wa jengo lolote linaweza kuthaminishwa na utu..nafsi ya mtu ni ghali kuliko kitu chochote.

Mnaendelea kuwekeza kwenye vitu bila uungwaji mkono wa watu Jambo linalovikosesha vitu hivyo thamani.

JK alijenga mwendo kasi akaweka na mfumo mzuri wa kuhudumia watu, awamo ya tano imeachana kabisa na miundombinu hiyo nakujikita kwen
 
Uhuru ata nyumbani,Uhuru hata shule, Uhuru hata kazini Kila sehemu Uhuru ndio utangulia


Refer South,Libya na Ethiopia.
Viongozi watendaji wakuu wako hadi wanakukwepa mikutano yako...duh!!
 
Maendeleo yanayoangalia vitu bila watu siyo maendeleo. Tuna watu wenye mahitaji mbali mbali ambao kuiona kesho yao ni kwa kudra za Mungu, hawa ukiwaambia mambo ya ndege watakushangaa kwa maana kuna wananchi toka kuzaliwa ndege haikuwahi kukatiza juu ya anga la kijiji chao kisicho na umeme maji wala huduma za afya.
 
 
Madaraka bila maarifa ni maafa!
alipoanza tu kusomesha watu namba nikajua tu amejitengenezea bomu,maendeleo yote shibe kwanza.Mtaji ni watu na sio vitu cheki lipumba kabaki na chama MAALIMU kasepa na kijiji.
Ukiwasomesha watu namba nao watakusomesha kwenye sanduku la kura,huu ni wakati wa mavuno.
Badala ya kupambana na umsikini eti unapamabana mbowe kuuwa upinzani jibu analo
 
Bora tungekua huru na salama3.tumepigwa risasi, watanzania ndugu zetu wametekwa,wamepotea viroba vya maiti vilikuwa vinaokotwa kwenye fukwe za bahari. Watanzania hatukupaswa kutendewa haya.
 
TRA wameacha kusoma ripoti za mapato hakuna kitu. Ndege mwanzo mwanzo tulikuwa tunapewa ripoti hivi sasa zinajiendesha kwa hasara. Alichofanikiwa ni kupeleka wanyama burigi na kujijengea international airport. awe anatua wakati wa kwenda chato. Hivi kila mtu akijijengea uwanja wa ndege hii Tanzania tutafika jamani?
 
Wa Tanzania tupo milion 55
Kwanini serikali isitenge milion 55 itugawie kila mtu milion 1?
Utawajua tu waliokuwa wanapata F kwenye somo la Hisabati.

Milioni 55 mara milioni 1 sawasawa na trilioni 55, na siyo hako kajibu kako ka milioni 55.

55,000,000 x 1,000,000 = 55,000,000,000,000.

Hilo jibu lako la milioni 55 ni endapo kila mtu atagawiwa Tsh 1.

Utopolo mkubwa wa Hisabati. Unatudhalilisha wanahisabati.
 
Hii imenikumbusha akiwa kwao alimtaja mtu mmoja alikuwa na mabasi 35 alimaliza kwakusema leo hana kitu
 
Mi napitaga kwenye flyovers naziona takataka tu, Kama siko huru ikiwa siwezi hata kuccoment habari siasa kwenye social media
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…