Walichotufanyia CRDB Mlimani City siku ya Krismasi

Duh na atm kazi yake nini huko nje! Waacheni watoto wa wenzenu na wao washerekee xmas majumbani mwao! Na bora wafunge kupunguza matukio mabaya ya ujambazi!

Kwenye ATM za CRDB mwisho kutoa ni milioni moja kwa siku,inakuwaje ukihitaji zaidi?
 
We unaongelea pesa za kununua bia? watu wanaongelea Internationa transaction, watu wanataka kulipia mizigo ya kule China, kwa hiyo kule china utalipa na M-pesa?
Kwa mawazo yako unajua benki ni kwenda kutoa pesa tu na kuweka eti,

Can't imagine! Planning to do business transaction on an holiday! You are jocking.
 
Nyinyi hamjaelewa Tangazo
mimi niliwauliza na tangazo lao actually ni sikukuu za serikali ndio wapo wazi
sikukuuu za kidini wanafungua siku ya pili....

kwa hiyo sio mwaka huu tu hata mwakani tarehe 25 hawafungui
na iddi mosi pia hawafungui....
 
jana Krismasi, wateja walikwenda banki ya CRDB Tawi la Mlimani City wakiamini itafunguliwa saa 4 asubuhi na kufungwa saa 8 mchana kama tangazo lao mlangoni linavyosema siku za wikiendi na sikukuu. cha ajabu, mlinzi mmoja akapewa jukumu la kuwatangazia wateja kwamba hawatafungua tawi hilo mpaka tarehe 26.
Hoja yangu si wao kutofungua bali nilishangaa ni kwa nini hawakubandika tangazo kama ilivyo utaratibu?
nilidodosa kutoka kwa mfanyakazi mmoja wa benki moja ya CRDB jijini Dar akasema utaratibu ni kwamba, inapotokea tawi linataka lisifunguliwe siku ya sikukuu, linapelekwa ombi kwa bosi wao, Charles Kimei, akikubali, wafanyakazi wanatangaziwa kisha wanabandika tangazo ili kutengue lile tangazo lao la kudumu mlangoni ambalo lina maelekezo ya muda wa kuingia kazini kuanzia Jumatatu-Ijumaa halafu Jumamosi, Jumapili na sikukuu.
wateja waliumia sana, tunaomba uongozi uliangalie hili.
unataka wenzako wasipumzike?-sio machine wao-acha wapumzike-hakuna kazi za kinaa kama za benk,
 
Kimei kishalewa madaraka,,,,Magufuli fukuza hii kitu,,


daamn..hivi tajiri wa bank hii na vile?

CRDB bado ni benki bora Tanzania, makosa haya ni madogo sana. Mngefanya sample ya wateja wao zaidi ya wengi ni wangapi kati yao au % ngapi hairidhiki na iko significant basi tungewahukumu lakini hivi vya watu 2 au 3 ni unafiki tu. Barabara ndefu haikosi kona na mwanamke mzuri hakosi kasoro. CRDB yenye asili ya Watanzania na inaendeshwa na Watz BIG UP sana ni Mfano wa kuigwa na taasisi zingine.
 
Uko sawa kabisa, ninavyojua mimi na ndivyo hivyo ilivyo. SWIFT na TISS zote zinapitia BOT. Lakini pia kama mfanyabiashara makini unaweza kuomba huduma ya internet banking ukafanya transfers mwenye ukiwa home unakunywa kinywaji chako safiiii. Mimi mwenyewe natumia hiyo.
 
KIMEI..... (gavana wa ukawa) Lazima afanye hujuma kwa serikali ya MAGUFULI. ...

ila days are numbered. ...
 
bank ni nyingi tu hapa tz binafsi nipo TPB na huduma zao kwa dar ni kila siku even jpili na siku za sikukuu kwa matawi ya kariakoo,hapo posta na kijitonyama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom