Mbona mjibi viwanja vipo? tena kwa pesa hiyo ya kuweka vifusi kwenye majaruba inatosha kununua kiwanja kizuriKila mtu anataka kuishi mjini.
Mbona mjibi viwanja vipo? tena kwa pesa hiyo ya kuweka vifusi kwenye majaruba inatosha kununua kiwanja kizuriKila mtu anataka kuishi mjini.
Kwa usawa huu kupata kiwanja Kawe mbona unaweka tu kifusi.Mbona mjibi viwanja vipo? tena kwa pesa hiyo ya kuweka vifusi kwenye majaruba inatosha kununua kiwanja kizuri
Duuh Kisa wanataka kukaa ushuani?Kama huna pesa,achana na chemchemu za maji! Kule Kunduchi mtongani, karibu na kanisa la KKKT Mtongani,kwa juu upande wa kulia,ukiwa unaangalia kusini! Waliojenga maeneo yale,hua wanapata shida sana,unaweza kua umekaa sebuleni,unashangaa maji yanatiririka!
Khaaa ndio mwishi wa siku unaishi kwenye madimbwi kama ChuraKwa usawa huu kupata kiwanja Kawe mbona unaweka tu kifusi.
Ni kweli mtu yeyotr iwe kwenye familia, uongozi, tabia za kibabe na matusi ni kukosa kujiamini ni dalili ya incompetenceWell done! Ubabe ni ushenzi fulani hivi unaofanywa na watu wasiojiamini.
Anatokwa na machozi atakua anaigizaJamaa yangu tupo naye kazini kitambo sana. Si haba vijicent vipo. Shida kubwa ya jamaa ni ubabe na unyanyasaji sababu ya vijicent.
HuWa namwambia asiwe na lugha za kibabe, dharau na unyanyasaji kwa watu wa kipato cha chini. Haelewi.
Anajenga nyumba. Ashafukuza sana mafundi bila kuwalipa na matusi mengi akitishia kuwaweka ndani n.k ni jambo la kawaida kumsikia akiwaambia umaskini wenu na kukosa akili ndo kumewafanya mchague hii kazi.
Basi amejenga nyumba yake akiwalalia sana mafundi ...sana yaani kumbe nao wanajua pa kumlalia.
Leo tumeenda akakague mifumo ya maji baada ya kuunganishwa mabomba...aiseee.... Alikuwa kila akifungua bomba maji yanatokea ukutani...kumbe katika hali ya kumkomoa mafundi walikuwa wanaweka mabomba hawafikishi mwisho.
Kwa hiyo ameenda kufungua maji kwenye koki kuu...kuingia ndani anakuta kuta zinatiririsha maji tu...
Hivyo anapaswa abomoe afunge mabomba upya...Kuta zinatiririsha maji ile mbaya. Mimi kwenda gusa zaidi zile kuta aisee ....hazifai.
Yaani ukipata muda ukaanza ukuna au tekenya ukuta mchanga unamiminika chini hadi ukuta unatoboka....
Ile nyumba ina maeneo ukikaa tu kama upo idle kwa kidole tu anza kufanya kama unaukuna ukuta au fanya kama una utekenya...ukuta unacheka kinyama....
Mafundi haijulikani wanakaa wapi ila nao wameshalipiza wameondoka zao.ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma.
Jamaa yangu tupo naye kazini kitambo sana. Si haba vijicent vipo. Shida kubwa ya jamaa ni ubabe na unyanyasaji sababu ya vijicent.
HuWa namwambia asiwe na lugha za kibabe, dharau na unyanyasaji kwa watu wa kipato cha chini. Haelewi.
Mafundi haijulikani wanakaa wapi ila nao wameshalipiza wameondoka zao.ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma.
Hivi hawa mafundi wenyewe huwa hawafanyi kile ambacho huwa kinachitwa na vijana wa kisasa "kolabo"Kitaalam plamber ni mtu mwingine na fundi kujenga ni mwingine sasa hapo ilikuaje fundi huyo huyo mmoja afanye yote hayo huyo jamaa pia hajasoma km ni hvyo
Sasa mawasiliano ya fundi ndo yatasaidia nini??Chai. Unawezaje kumuajiri fundi na ukawa huna mawasiliano yake.
HakikaNi kweli mtu yeyotr iwe kwenye familia, uongozi, tabia za kibabe na matusi ni kukosa kujiamini ni dalili ya incompetence
Kweli kabisa.Mnawadharau sana mafundi ujenzi, mnasahau kuwa ukiacha madaktari mafundi ujenzi ndio watu mhimu sana ktk future zenu.
Hahahahah sasa utalala kwenye nyumba ya kupanga milele au hotelini😅Aisee! Kwamba akitoka MD fundi ujenzi ndio muhimu?!!!
Si anataka nae ajenge mikocheni😅Viwanja vimekuwa Adimu kiasi hicho mpaka mtu anajenga kwenye Majaruba??🤣🤣🤣
Kama unamnyanyasa fundi mwashi utashindwaje kumpelekesha plumber? Wote wanakuona Foo tu na wakiform alliance wanakuangamiza na hela yako wanaila.Hivi hawa mafundi wenyewe huwa hawafanyi kile ambacho huwa kinachitwa na vijana wa kisasa "kolabo"