Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Siku si nyingi Ethiopia ilikamilisha ujenzi wa bwawa la maji linalozalisha megawatt 5,000 za umeme. Wakiunganisha na mabwawa mwngine waliyokuwa nayo sasa wanakaribia megawatt 1,000 za umeme...
Ujenzi wa bwawa hilo uliogarimu zaidi ya $ 3bn, ulichangiwa kwa karibia asilimia 30 na wafanyakazi wa serikali, na wa binafsi ambapo kila mwananchi mwenye mshahara nchini humo alitakiwa kuchangia mshahara wake wa mwezi mmoja. Kwa hiyo walichukua mshahara wa mfanyakazi, wakagawa kwa 12, then kiasi hicho kikawa kinakatwa katika mshahara kwa mwaka mmoja.
Fedha nyingine walipata kutoka mikopo ya mabenk ya nje...
Kwa sasa wanapata mapato makubwa kwa kuuza umeme nje ya nchi wakianza na Djibout, lakini zipo nchi nyingi zimshaaply kuuziwa umeme ikiwemo Spain!
Je, leo Kikwete akisema anachukua mshahara wa mwezi mmoja wa kila mfanyakazi ajenge stiegler's gorge, tutakuwa tayari?
Ujenzi wa bwawa hilo uliogarimu zaidi ya $ 3bn, ulichangiwa kwa karibia asilimia 30 na wafanyakazi wa serikali, na wa binafsi ambapo kila mwananchi mwenye mshahara nchini humo alitakiwa kuchangia mshahara wake wa mwezi mmoja. Kwa hiyo walichukua mshahara wa mfanyakazi, wakagawa kwa 12, then kiasi hicho kikawa kinakatwa katika mshahara kwa mwaka mmoja.
Fedha nyingine walipata kutoka mikopo ya mabenk ya nje...
Kwa sasa wanapata mapato makubwa kwa kuuza umeme nje ya nchi wakianza na Djibout, lakini zipo nchi nyingi zimshaaply kuuziwa umeme ikiwemo Spain!
Je, leo Kikwete akisema anachukua mshahara wa mwezi mmoja wa kila mfanyakazi ajenge stiegler's gorge, tutakuwa tayari?