nyemenowa tindamanyile
Member
- Jan 28, 2022
- 41
- 39
Wana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
Kama kubeti live yaani... Muda wote unachungulia wali wako. 😀😀😀😀😀😀😀😀Weka maji kiasi afu weka gesi ule moto wa chini kbsa
Kama kubeti live yaani... Muda wote unachungulia wali wako.
Dizaini ya matembezi hayo ila mi huwa napita na 120 halafu napita zangu hiv.Matembezi yako ya wapi unapotembelea labda ushakutana na hivi ?View attachment 2693638
Haya sawa mkuu itakua vizuri zaidiDizaini ya matembezi hayo ila mi huwa napita na 120 halafu napita zangu hiv.
Sasa nataka niboreshe baadhi ya mambo kuwadaba wengi zaidi
Huna adabu hata huyo mke ungemwoa ungembetia tu 😀😀😀😀😀😀😀 kwani wewe ni mtu basi...,😀😀😀Kubet live mamaeee sirudiii imeondoka na hela yangu ya mahali mamaee
Huna adabu hata huyo mke ungemwoa ungembetia tu kwani wewe ni mtu basi...,
Wana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
Wana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
Shangazi❤️❤️Nimejua wanaume wanaopika humu😍
Rabeka shangazi😍😍Shangazi❤️❤️