Walevi wanajifariji sana

Aahhahhaaha mkuu sipati somrtymz notification..! Enjoy mkuu..ukija siku tukae Florida hapa round abt..chocho jipyaaa...sema halina wahudumu classic..wahudumu gan wamefunga vilemba Kama wainjilist
Vein ya hapa XO lounge unaiweza ama utakuwa unawaza..?
 
Ndio wanaaminika na maendeleo yao kimaisha yakoje?
Nimefaya uchunguzi binafsi kwenye taasisi tofauti, watu wasiokunywa pombe wanaaminiwa na kuheshimika kuliko wasiotumia kilevi.




Wewe mwenyewe umelewa hii post kaandika mlevi
 
Halafu wanatumia nguvu kubwa sana kutuchafua tusiokunywa...ooh kama hunywi pombe lazima utakuwa ma.laya, mtu wa majungu n.k na kujifanya eti wao ni watu poa
 
Halafu wanatumia nguvu kubwa sana kutuchafua tusiokunywa...ooh kama hunywi pombe lazima utakuwa ma.laya, mtu wa majungu n.k na kujifanya eti wao ni watu poa
Kunywa pombe upate usingizi mkuu
 
Hawa ndio wakiingia kwenye sherehe analazimisha kunywa soda nne ili mradi afidie mchango wake aliotoa mwisho wake anatoka tumbo limejaa ndii!!! Huku wazee wa bia wakishusha taratiib bila presha......
 
Frustrations kaka
 
Wewe mbweha kaa kimya, kwanza unijui! Eti niache pombe! Bila pombe pengine usingezaliwa.
Ila ndo tabia zenu zilivyo.. unajiona mwanaume kumbe umejawa na tabia za kike.
 
Wewe mbweha kaa kimya, kwanza unijui! Eti niache pombe! Bila pombe pengine usingezaliwa.
Ila ndo tabia zenu zilivyo.. unajiona mwanaume kumbe umejawa na tabia za kike.
Bila pombe nisingezaliwa???

Unatumia kiungo gani kufikiria???
 
Ongeza na hili:
Wasiokunywa pombe na wanaoheshimu ndoa zao kwa kutokufanya umalaya!
 
Wanywa soda wengi hawajaendelea.. Hela unavyoitumua ndivyo unavyopata akili ya kuitafuta alafu kingine network nyingi ziko bar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Utadhani anatununulia yeye..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…