Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,796
- 1,350
Tupo hapa bar fulani kama kawaida tunaburudika. Yaani round zinazunguka kama kawaida.
sasa ndo nimetowa wazo hapa tunalijadili na hata ikiwezekana liwekwe kwenye rasimu ya WARIOBA.
Ni muda muafaka sasa kwa serikali kuweka sherehe ya walev na wavutasigara coz uchumi wa nchi yetu unatutegemia sisi walevi na wavutasigara.
Tunapendekeza sikukuu ya walevi iwe tar. 9 september yani 9\9
sikukuu ya wavuta sigara iwe tar 6 june yani 6\6.
ViA zidumu fikra za mlevi
waiterrr.... lete KILIMANJARO baridi haraka.
au tuhame bar??
sasa ndo nimetowa wazo hapa tunalijadili na hata ikiwezekana liwekwe kwenye rasimu ya WARIOBA.
Ni muda muafaka sasa kwa serikali kuweka sherehe ya walev na wavutasigara coz uchumi wa nchi yetu unatutegemia sisi walevi na wavutasigara.
Tunapendekeza sikukuu ya walevi iwe tar. 9 september yani 9\9
sikukuu ya wavuta sigara iwe tar 6 june yani 6\6.
ViA zidumu fikra za mlevi
waiterrr.... lete KILIMANJARO baridi haraka.
au tuhame bar??