Walevi ndio mafisadi wakubwa

Walevi ndio mafisadi wakubwa

Kwa kweli bila ya maji ya pale barabara ya Uhuru mimi nisingeenda shule kufuta ujinga wa kusoma na kuandika, kodi nyingi inatoka pale na hizo barabara nzuri ni matokeo ya hicho kinywaji, jee wewe huoni raha kupita kwenye barabara ya lami? basi ujue kodi iliyojenga barabara hiyo inatokana na beer, acha tunywe . BEER THE GREATEST INVENTION IN THE WORLD SO FAR
 
Kwa kweli bila ya maji ya pale barabara ya Uhuru mimi nisingeenda shule kufuta ujinga wa kusoma na kuandika, kodi nyingi inatoka pale na hizo barabara nzuri ni matokeo ya hicho kinywaji, jee wewe huoni raha kupita kwenye barabara ya lami? basi ujue kodi iliyojenga barabara hiyo inatokana na beer, acha tunywe . BEER THE GREATEST INVENTION IN THE WORLD SO FAR

Kwa sababu hivi ulivyoandika umelewa hufahamiki ulichokusudia na sijui kama utaelewa nitakalokwambia.
Haya maji ya pale Uhuru ni yapi?.Au wakusudia kile kiwanda cha bia pale karibu na Karume?.
Hivi wewe huoni haya na kuwaonea huruma wakazi wa pale Tandale Kwamtogole.Kila mvua zinaponyesha kinyesi cha watu wa Magomeni na Sinza chote hujikusanya hapo.Unadhani ni nini kinachozuia kujengwa kwa madaraja na mitaro mizuri ya maji taka kama si kudorora kwa uchumi kutokana na ulevi.
Na wewe kwanini ukienda kwa Nyanya yako kijijini ni lazima uteremke njiani upakiwe na baiskeli.Unadhani kwa nini barabara ya kufikia kwenu haijengwi kama si hasara za ulevi?.
 
according to your reasoning

tanzania haina uwajibikaji na ina malalamiko (Mishahara midogo, pensheni za wazee EAC, mikopo ya wanafunzi, barabara mbovo etc) kutokana na viongozi wetu, this is all because viongozi wetu hawana muda wa kufikiri wanapotoa maamuzi which is a result of ulevi na ufisadi.

MHHHHH inawezekana siwezi kubisha

Hiyo ni kweli kabisa.Si lazima iwe ni viongozi wote,lakini inapokuja uwajibikaji hata wakiwa ni wachache basi wana athari kubwa kwa taifa kwa sababu wachache hao huwa wanawahudumia wananchi wengi.
Siku moja nilikuwa na shida ofisi fulani.Mkuu wa kitengo hicho ni mlevi wa kutupwa.Siku hiyo mpaka saa 4 hajafika.Walio chini yake wakajiona wana uwezo wa kunisaidia kwa shida yangu ili niwahi kuondoka.Mara yule bwana akatokea na kuanza kuleta vishindo na kuzusha mambo yasiyokuwepo ili suala hilo lipelekwe polisi.
Walio chini yake wakamsihi kwamba jambo kama lile wao hawatakiwi kupeleka polisi ipo adhabu nyengine kama kweli ameliona ni kosa.Kutokana na akili yake ya kilevi akakataa ushauri katakata na kweli kulipeleka polisi.Kule polisi wakashangaa.Yeye mwenyewe alipoleuka akagundua kosa na akajua amejiaibisha kwamba pamoja na cheo alichonacho hajui majukumu yake,akaazimia kupunguza aibu kwa kuliondoa shauri polisi.
Ili kufanya hivyo akamuagiza kijana wake akawaombe polisi wafute jalada la shauri hilo.Yule aliyeagizwa kwenda polisi naye eti anaona aibu kwa hivyo ikabidi akalewe kwanza ndipo akaweze kujieleza kwa polisi.Akaingia baa fulani lililo jirani na polisi akalewa mpaka muda ulipofika akaenda kwa polisi kuomba kuondosha kesi.Usumbufu kiasi gani walionisababishia kwa mambo yao ya kilevi!.
Haya mambo ya kujenga mabaa karibu na makazi ya watu,maofisi na vituo vya polisi ni moja ya ufisadi yanayovunja heshima za watu,kupalilia dhulma na kurudisha nyuma maendeleo ya kweli.
 
Kwa sababu hivi ulivyoandika umelewa hufahamiki ulichokusudia na sijui kama utaelewa nitakalokwambia.
Haya maji ya pale Uhuru ni yapi?.Au wakusudia kile kiwanda cha bia pale karibu na Karume?.
Hivi wewe huoni haya na kuwaonea huruma wakazi wa pale Tandale Kwamtogole.Kila mvua zinaponyesha kinyesi cha watu wa Magomeni na Sinza chote hujikusanya hapo.Unadhani ni nini kinachozuia kujengwa kwa madaraja na mitaro mizuri ya maji taka kama si kudorora kwa uchumi kutokana na ulevi.
Na wewe kwanini ukienda kwa Nyanya yako kijijini ni lazima uteremke njiani upakiwe na baiskeli.Unadhani kwa nini barabara ya kufikia kwenu haijengwi kama si hasara za ulevi?.

Ndugu Masoud, Umemanisha chochote kwenye hii thread au umeamua kupiga soga humu JAMVINI?????????
 
Ndugu Masoud, Umemanisha chochote kwenye hii thread au umeamua kupiga soga humu JAMVINI?????????
Kumbe wewe ndiye Mzee Mwanakijiji!,nashangaa sana kuniona mimi kuwa napiga soga.
Hili tatizo mzee mwenzangu hulioni?.au na wewe pia ni mlevi ndio maana hutaki kunielewa.
 
Mimi nabisha mkuu weka ushahidi.

Hata mchezo wa kuigiza ukiandikwa na mlevi utaujua tu.Anashindwa kuleta mtiririko mzuri wa wahusika wake.
Huu mchezo wa ubalozi wa Marekani ungeuandika wewe ungepunguza aibu ya ubalozi huo.
Eti mnamo saa 2.30!,kwanini isiwe majira ya saa mbili au saa 2.26?.Aliyeuandika alisahau kuwa mafuta ya taa hayaripuki,hasa yakirushwa chini ya lori la kubebea maji.
Huu mchezo badala kuwa jaribio la kuuripua ubalozi wa Marekani tunaweza kuuita ni Aibu ya Ubalozi wa Marekani na Ugaidi wa kifisadi.
 
Hata mchezo wa kuigiza ukiandikwa na mlevi utaujua tu.Anashindwa kuleta mtiririko mzuri wa wahusika wake.
Huu mchezo wa ubalozi wa Marekani ungeuandika wewe ungepunguza aibu ya ubalozi huo.
Eti mnamo saa 2.30!,kwanini isiwe majira ya saa mbili au saa 2.26?.Aliyeuandika alisahau kuwa mafuta ya taa hayaripuki,hasa yakirushwa chini ya lori la kubebea maji.
Huu mchezo badala kuwa jaribio la kuuripua ubalozi wa Marekani tunaweza kuuita ni Aibu ya Ubalozi wa Marekani na Ugaidi wa kifisadi.


Kumbe ndio maana Pale Nyinda View Tanga walitumia Petrol eeeh!!!
 
Kumbe ndio maana Pale Nyinda View Tanga walitumia Petrol eeeh!!!

Hii "ndio maana walitumia petrol eeeh!!!!" haijaeleweka.Lakini huenda unamaanisha kuliwahi kuwepo na shambulio la bomu la petroli.
Hiyo baa unayosema naifahamu na hata mmiliki wake tunafahamiana sana katika mambo mengine ya halali yasiyohusiana na ulevi.Yeye mwenyewe sijui kwamba anakunywa kwa sababu sijawahi kumuona amelewa.Nadhani ni tamaa ya kipato tu.
Wewe mwenyewe yaonesha unapajua hapo pahala au ni mmoja ya wateja wake.Ikiwa ni hivyo utakumbuka kuwa hapo ilipo Nyinda ni kitongoji cha mabaa.Sheikh fulani aliwahi kujenga hapo zamani hatimaye akaamua kuikimbia nyumba yake.
Nyakati za usiku sidhani kuwa watu kama mimi tunaochukia ulevi tunaweza kukaribia hapo.Hivyo uwezekano mkubwa ni shambulio baina ya mabaa kugombea wateja au kwa sababu nyengine yoyote.Hili ni jambo la kawaida kwa walevi kufanya vurugu na uadui wa kila aina.
Wakati huo huo kama yupo anayechukia ulevi na mwenye ubavu wa kurusha petroli basi hana sababu ya kwenda kwenye baa kama zile ambazo bila shaka kila moja ina walinzi wake,angeweza kufuata mabaa mengine yaliyojitenga na yaliyozagaa jijini kote.Hili bado sijawahi kulisikia sawa na hilo la Nyinda.Hii inaonesha waislamu wa Tanga bado hawajadhamiria au kwa sababu yoyote ile hawajaweza kuyarushia petroli mabaa yanayowazingira.Inarudi pale pale kwamba huu ni ugomvi wa wenye mabaa au walevi wenyewe.
Kwa upande mwengine askari kama wewe anapokuwa naye ni mlevi huwa ni mtu mbaya sana, kwani katika mazingira mengine hawaoni tabu kufanya lolote na kulibambika hilo kuwa ni kosa lililofanywa na mtu mwengine ili kufanikisha mpango fulani muovu.
Mimi nimejaribu kumnasihi huyu bwana bila mafanikio.Iwapo munafahamiana naomba umfikishie salamu hizi ili atupunguzie ufisadi katika jamii na kwa faida ya taifa:Mwambie akubaliane na maongozi ya uislamu na awache biashara hii haramu.Mungu atampatia riziki kwa njia nyengine na kuzibariki.Kwani Allah( s.w) amesema:
{Enyi mlioamini! Bila shaka ulevi, kamari, kuabudu masanamu na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shaytwaan. Basi jiepusheni navyo ili mpate kufanikiwa} [Al-Maidah: 90]

Kwa ajili hiyo, Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amelaani aina kumi za watu wanaohusika na ulevi: “Mwenye kugema ulevi, mwenye kutaka afanyiwe, mwenye kunywa na mwenye kubeba, mwenye kubebewa, mwenye kunywisha, mwenye kuuza, mwenye kula thamani yake, mwenye kununua na mwenye kununuliwa” (at-Tirmidhiy na Ibn Maajah).
Sehemu nyengine Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amekataa kuwa ulevi ni tiba ya maradhi yoyote yale, bali amesema wenyewe ni ugonjwa.Si dawa ya mawazo kama walevi wengi wanavyosingizia.Siku moja aliingia nyumbani akakuta tende zimerowekwa na kuchacha akauliza akaambiwa ni dawa ya kumtibu mtoto mgonjwa,akaamrisha kile chungu kivunjwe kwa kupigwa na ukuta.Amesema chochote kileweshacho katika wingi wake basi ni haramu hata katika uchache wake.
 
Wewe mwenyewe yaonesha unapajua hapo pahala au ni mmoja ya wateja wake.Ikiwa ni hivyo utakumbuka kuwa hapo ilipo Nyinda ni kitongoji cha mabaa.Sheikh fulani aliwahi kujenga hapo zamani hatimaye akaamua kuikimbia nyumba yake.
Nyakati za usiku sidhani kuwa watu kama mimi tunaochukia ulevi tunaweza kukaribia hapo.Hivyo uwezekano mkubwa ni shambulio baina ya mabaa kugombea wateja au kwa sababu nyengine yoyote.Hili ni jambo la kawaida kwa walevi kufanya vurugu na uadui wa kila aina.
Wakati huo huo kama yupo anayechukia ulevi na mwenye ubavu wa kurusha petroli basi hana sababu ya kwenda kwenye baa kama zile ambazo bila shaka kila moja ina walinzi wake,angeweza kufuata mabaa mengine yaliyojitenga na yaliyozagaa jijini kote.Hili bado sijawahi kulisikia sawa na hilo la Nyinda.Hii inaonesha waislamu wa Tanga bado hawajadhamiria au kwa sababu yoyote ile hawajaweza kuyarushia petroli mabaa yanayowazingira.Inarudi pale pale kwamba huu ni ugomvi wa wenye mabaa au walevi wenyewe.
Kwa upande mwengine askari kama wewe anapokuwa naye ni mlevi huwa ni mtu mbaya sana, kwani katika mazingira mengine hawaoni tabu kufanya lolote na kulibambika hilo kuwa ni kosa lililofanywa na mtu mwengine ili kufanikisha mpango fulani muovu.
"Rabbi Jehuda said to him [Rabbi Cezkia]: 'He is to be praised who is able to free himself from the enemies of Israel , and the just are much to be praised who get free from them and fight against them. 'Rabbi Chezkia asked, 'How must we fight against them?' Rabbi Jehuda said, 'By wise counsel thou shalt war against them' (Proverbs, ch. 24, 6). By what kind of war? The kind of war that every son of man must fight against his enemies, which Jacob used against Esau - by deceit and trickery whenever possible. They must be fought against without ceasing, until proper order be restored. Thus it is with satisfaction that I say we should free ourselves from them and rule over them." Zohar (I, 160a):
 
"Rabbi Jehuda said to him [Rabbi Cezkia]: 'He is to be praised who is able to free himself from the enemies of Israel , and the just are much to be praised who get free from them and fight against them. 'Rabbi Chezkia asked, 'How must we fight against them?' Rabbi Jehuda said, 'By wise counsel thou shalt war against them' (Proverbs, ch. 24, 6). By what kind of war? The kind of war that every son of man must fight against his enemies, which Jacob used against Esau - by deceit and trickery whenever possible. They must be fought against without ceasing, until proper order be restored. Thus it is with satisfaction that I say we should free ourselves from them and rule over them." Zohar (I, 160a):

Sideeg bana yaani huwa anapotosha hoja kabisaaaaaaaaaaaa zo what is the connection bro
 
Sideeg bana yaani huwa anapotosha hoja kabisaaaaaaaaaaaa zo what is the connection bro
Dis iz dah connection "'By wise counsel thou shalt war against them' (Proverbs, ch. 24, 6). By what kind of war? The kind of war that every son of man must fight against his enemies, which Jacob used against Esau - by deceit and trickery whenever possible.
Zohar (I, 160a)
 
Bwana masoud umefanya utafiti wa kutosha? sample size yako ni kubwa kiasi gani? umetumia tools zipi? nina mashaka na ukweli wa hayo unasemayo
 
Back
Top Bottom