Fanya tafiti ndogo mkuu utawafahamuNahitaji kuwafahamu hao watu.
Kwaio hili jambo ni kosa kisheriaSio kila kitu lazima sheria iruhusu, mbona bangi ni haramu ila inauzwa mtaani kama njugu.
Wewe unataka GB au unataka makosa?Kwaio hili jambo ni kosa kisheria
Mkuu mimi nimeuliza hili niweze kupatiwa ufafanuzi.Wewe unataka GB au unataka makosa?
Wewe shida yako nini kati ya GB na makosa?Mkuu mimi nimeuliza hili niweze kupatiwa ufafanuzi.
Simanishi kuwa nafuata sheria lazima ujue upande wa pili wa sarafu nikikosea apa adhabu yake ni hipi hili badae usije mlaumu mtu kwama sikujuiUnataka kila kitu kisheria utaweza sasa mkuu,Fanya unachoona kinafaa basi, walioweka sheria wenyewe wanazivunja sembuse wewe
Sheria zipo ili zivunjwe, hakuna mahali popote hapa duniani watu wataishi kama watakatifu.Simanishi kuwa nafuata sheria lazima ujue upande wa pili wa sarafu nikikosea apa adhabu yake ni hipi hili badae usije mlaumu mtu kwama sikujui
Wewe vunja sheria ufaidike,acha woga ndo maana huwa hamfanikiwi kwa kutaka uhalali kwa kila kituSimanishi kuwa nafuata sheria lazima ujue upande wa pili wa sarafu nikikosea apa adhabu yake ni hipi hili badae usije mlaumu mtu kwama sikujui
Mafanikio ya mtu ayapimwi kuwa mara ngapi amevunja sheriaWewe vunja sheria ufaidike,acha woga ndo maana huwa hamfanikiwi kwa kutaka uhalali kwa kila kitu
Ngoja apigweNahitaji kuwafahamu hao watu.
Ndomana nmekuja kuwauliza watalam wa mamboNgoja apigwe
Sawa mkuuMafanikio ya mtu ayapimwi kuwa mara ngapi amevunja sheria
Nimepata ufafanuzi kutoka customer care ni matapeli tuHabari wakuu nataka kujua wale watu ambao wanauza gb 30 kwa 15,000Tsh unatumia miezi mitatu ni kweli au matapeli na vipi kuhusu kisheria hicho kitu ni legal.