Uptown_tz
Member
- Oct 13, 2019
- 46
- 24
Tuliokua tukisoma kuvunja historia ya Lipumba but tukaambulia one kali za EGM.
Kwa mtazamo wangu watu kama Lipumba na Martin Chegere wamechangia sana kuinspire na kufanya wanafunzi wengi wa EGM kufaulu vizuri kutokana na historia zao, sana sana Lipumba maana ni kwa hata wanafunzi wa zamani kidogo.
Big up to them.
Kwa mtazamo wangu watu kama Lipumba na Martin Chegere wamechangia sana kuinspire na kufanya wanafunzi wengi wa EGM kufaulu vizuri kutokana na historia zao, sana sana Lipumba maana ni kwa hata wanafunzi wa zamani kidogo.
Big up to them.

weyeeeeerh,