Wale watabe wa EGM tukutane hapa

Wale watabe wa EGM tukutane hapa

EGM (BAA) div 1.4 nakula bata TRA
Bwana Tra ofisa Vipi ulifanikiwa kupata admission result za chuo ulichoomba?
Screenshot_2020-10-08-05-01-11-1.jpg
Screenshot_2020-10-08-05-00-50-1.jpg
Screenshot_2020-10-08-05-00-24-1.jpg
 
Vipi mi wa HKL nakomenti wapi? Nimegeuka kuwa HR, napeta kama vile sikupiga HKL.
HR si ni lugha na kujua taasisi inataka nini? Hivyo HKL imekusaidia kwa lugha zetu kuu Tz. Au hamna mchango kutoka mchepuo uliosomea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom