The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Jamaa kaingia baa,
Jamaa; mhudumu nipe kinywaji, na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazma kila mtu apate kinywaji.
Haraka sana mhudumu akagawa vinywaji.
Jamaa; nipe supu, na kila mtu humu ndani mpe supu maana wakati nnapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu, watu wakapewa supu tena safari hii wakapga makofi
Jamaa; mhudumu nipe bili na kila mtu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu, kila mtu lazima alipe bili yake.
Jamaa; mhudumu nipe kinywaji, na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazma kila mtu apate kinywaji.
Haraka sana mhudumu akagawa vinywaji.
Jamaa; nipe supu, na kila mtu humu ndani mpe supu maana wakati nnapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu, watu wakapewa supu tena safari hii wakapga makofi
Jamaa; mhudumu nipe bili na kila mtu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu, kila mtu lazima alipe bili yake.