Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 1,196
- 1,846
Habari zenu Wana-jamiiforum?
Moja kwa moja kwenye mada, kuna minong'ono mbalimbali kuwa kuna nguvu fulani fulani zinazoweza kubadilisha hali ya kitu, kuleta maafa, kuleta bahati, au kuamua muafaka wa maisha ya wanadamu.
Binafsi mpaka nafikia huu sijawahi kushuhudia nguvu hizo.
Sasa naomba wale wanaoamini nguvu hizi wanithibitishie .
NB: Nipo tayari kutoa ushirikiano kwa atakayekuwa tayari kuthibitisha stori hizi.
Moja kwa moja kwenye mada, kuna minong'ono mbalimbali kuwa kuna nguvu fulani fulani zinazoweza kubadilisha hali ya kitu, kuleta maafa, kuleta bahati, au kuamua muafaka wa maisha ya wanadamu.
Binafsi mpaka nafikia huu sijawahi kushuhudia nguvu hizo.
Sasa naomba wale wanaoamini nguvu hizi wanithibitishie .
NB: Nipo tayari kutoa ushirikiano kwa atakayekuwa tayari kuthibitisha stori hizi.