Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,649
- 16,541
Hii situation ina age yake.
Unaonekana una ka experience 😀🤣🤣🤣
Kulinda brand muhimu sana kama michezo tu muhimu uwe na contingency plan.
Aah! Sometimes dada zetu hawa wana tabia ya kupima imani za watu, haya mambo ya kulinda brand yanawezekana kama wewe ni "nakupenda pia" ila ukiwa ule upande mwingine huwezi kushikilia bomba.Hautaki kuonekana dhaifu😀😂
Hapana mkuu akikuwa ataacha ni utoto tu😃
Kwakweli! Bora uwe partially tuHataki kuonekana dhaifu, maan mkijua tunawapenda mnatuchachafya😀
Hahahhaa , nayumbishwa ila sio kivile bwashee 😅Huwa napitia comments zako, na misimamo yako naona kabsa hakuna yoyote wa kukuyumbisha hasa kwenye mahusiano🔥😀
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe
Haifai kujishusha zaidi ya mara mbiliHii nadhani michezo yako😀😀
Kwani ukijishusha ?😀
Tunalinda brandi
View attachment 3582623
Wewe unaweza...Kulinda brand muhimu.. akijifanya cake we kuwa icing sugar tu. Atakae surrender atamuanza mwenzake 😂
Naweza sana 😀Wewe unaweza...
Saa ingine unaeza dhani unalinda brand kumbe upo mwenyewe, mwenzio kakukaushia sio kwamba analinda brand au anakufanyia makusudi, bali ni kwamba wewe sio kipaumbele kabisa kwenye maisha yake, hata kichwani kwake mda mwingi haupo, kiuhalisia unaeteseka ni wewe, mwenzio wala hana hata habari DepalKulinda brand muhimu.. akijifanya cake we kuwa icing sugar tu. Atakae surrender atamuanza mwenzake 😂