Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,125
Kwenye masomo ya Sheria kuna kitu kinaitwa haki ya kuvunja Sheria.Twende mbele turudi nyuma, sielewi inahusiana na kitu gani lakini kisheria polisi wa kiume hawatakiwi kukagua wala kuwakamata wahalifu/watuhumiwa wa kike!
Mfano: Mtu huruhusiwi kuingia chumbani kwa mtu bila ruhusa yake, lakini unaona moto unalipuka katika chumba cha jirani hapo utaruhusiwa kuingia kuokoa vitu au mtu pasi na ruhusa yake.
Umkute mtu anatukana au anavuta bangi au anabaka hutamshika kwakuwa ni jinsia tofauti?
Ok.
Understood?