Tuwatakie safari njema!
Wale waganga wameondoka mda huu hapa temeke kwa baiskeli za Phoenix, wamebeba mafurushi yao mgongoni kama watalii. Leo wanatarajia kulala kibiti Insha Allah!!
Wapeni ushirikiano wenu wawapo safalini!
Ikiwezekana Mapokezi ya heshima kwa kazi kubwa waliyoifanya!
Wale waganga wameondoka mda huu hapa temeke kwa baiskeli za Phoenix, wamebeba mafurushi yao mgongoni kama watalii. Leo wanatarajia kulala kibiti Insha Allah!!
Wapeni ushirikiano wenu wawapo safalini!
Ikiwezekana Mapokezi ya heshima kwa kazi kubwa waliyoifanya!