johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,394
- 142,634
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa ACT Wazalendo ina Wabunge wanne wa kuchaguliwa wote wakiwa wanaume, CUF ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa ambaye ni mwanamama na Chadema ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa ambaye ni mwanamama na wabunge 19 wa viti maalumu.
Nichukue nafasi hii kuwapongeza CHADEMA kwa kupewa uongozi wa kamati za PAC na LAAC.
Sielewi hawa " Vidume" wa ACT Wazalendo wameshindwaje kujinyakulia uongozi kwenye kamati za kudumu za bunge ukizingatia umuhimu wa SUK labda watakuwa hawana sifa.
Maendeleo hayana vyama!
Nichukue nafasi hii kuwapongeza CHADEMA kwa kupewa uongozi wa kamati za PAC na LAAC.
Sielewi hawa " Vidume" wa ACT Wazalendo wameshindwaje kujinyakulia uongozi kwenye kamati za kudumu za bunge ukizingatia umuhimu wa SUK labda watakuwa hawana sifa.
Maendeleo hayana vyama!