Wale wa veta inawahusu

Wale wa veta inawahusu

Hajto

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
5,652
Reaction score
5,624
Habari zenu wadau,mimi kwa jina naitwa juma,nilikuwa nawaomba kwa mtu yeyoye ambaye alishafanyaga mtihani wa veta grade (2)two mwaka wowote ule nakufaulu mwenye kutumia jina la Juma ramadhani ama juma nilikuwa namuomba namba yake ya mtihani kwa kuwa veta masomo ya grade yanafutwa mwakani 2O15 na mimi nilikuwa nataka kufanya grade One,Ushauri msiwe na wasiwasi wowote ule kwani aliyeniambia ivyo ni ticha wa veta,aliyetayari ani-pm
 
Majina hayo ya wafanyakazi wa ndani wa wahindi utampata tu, mpo wengi sana ila suala la kusoma sasa. Jumaaaaaa, patia toto bol chezea
 
Kaka nenda kapige kitabu wacha kutafuta njia fupi, ujue hayo mambo mwisho wake ni nooma
 
Kaka nenda kapige kitabu wacha kutafuta njia fupi, ujue hayo mambo mwisho wake ni nooma

nimefanya mtihani wa Cbet level 2 lakn vyeti vyake havina soko tofauti na Grade
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom