Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,789
Kwa wanaosoma na waliochagulia chuo kikuu cha arusha naomba naomna mnipe experience ya kuishi hapo chuoni na unaporipoti maana naskia kama ukikaa hostel inabidi ujiaandae kama unaenda kuripoti sekondari. yaani ubebe godoro ,ndoo, beseni nk Je ukweli upoje? ipi ni bora kukaa hostel au off campus. Gharama za kukaa nje ya hostel zipoje? chakula je gharama zipoje?