Naunga mkono Hoja 100%
telecom eng pamoj. naunga mkono hoja 100%
Naunga mkono Hoja 100%
Saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaffffffffffffffffff sana inapndeza wale wa PSPA ndani ya UDOM 2juane jaman
hiv EZRA CHENGULA naomba unisaidie,kuna ndugu angu kachaguliwa direct special diplma of education chem&maths haxa ananiulza kuhsu garama zte za pale udom zinakuaje na wa2 wanaxema wanalipiwa na xerkal na kama wanalpiwa inakuaje kuaje ?naomba tarifa zaid ili mtt wa baba mdogo aende chuo?
Nisaidieni wakuu,ivi hii course inashugulika na nini (BCOM IN SCIENCE MANAGEMENT)
Aiseee kumbe tuko wengi hivi???? hebu wazoefu na wenyeji wa chuo mtupe michakato inakuaje kuanzia campus life,accommodation, opening day, usafiri na vinginevyo
Nitafte nikupe maelekezo
kutana na 1st yr wa udom kibao katk group machachari la whatsap.
tupia no yako hapa.
kutana na 1st yr wa udom kibao katk group machachari la whatsap.
tupia no yako hapa.