- Thread starter
- #61
hahaa ebwana tuko pamoko hapo CoES petroleum engineering, una info za intake yetu ni ya ngapi kwa petroleum engi'?
pah1 kk kuhuxu intake cjajua mebbe ya kwanza au ya pili
hahaa ebwana tuko pamoko hapo CoES petroleum engineering, una info za intake yetu ni ya ngapi kwa petroleum engi'?
pah1 kk kuhuxu intake cjajua mebbe ya kwanza au ya pili
Inaweza kuwa ya tatu au ya nne, kuna jamaa yangu yuko mwaka wa 3 aliingia 2010
Wadau, wakati website ya udom inatoa list ya wa2 waliokuwa admitted, me jina langu sikuliona, bt tcu walivyo release nimepangiwa udom computer engineering, sasa apo imekaaje? Au nimeachwa hewani?
pia ipo hii moja inaitwa Udom Lawyers Group utaipt facebuk,kwa wale mliochaguliwa ktk kozi ya Legal Professional mnakaribishwa kujoin nasi km una lolote unatk kujua kuhusu udom na kozi mbalimbali hususan LL.B.ama Sheria,hapa ndio sehemu husika.Hongereni nyooooooote mliochaguliwa chuo kikuu kikubwa afrika mashariki na kati.Nawakaribisha nyote.kuna viumoja mfano kule facebuk kuna udom facebookers, udom chember, kwa wale wa scnc kuna k2 knaitwa hi collage ipo kama face buk wameitegeneza watt wa informtcs
MKIISHIWA BUMU mni-PM ntawatoa kimtindo wana wa udom!,
mi niko napiga mzigo CRDB tawi jipya kama unaenda General Hospital.
Naunga mkono Hoja 100%
ha ha ha bt ucwaze sana educatoin mtawapata mashi kibaoooDaaaaa!!! this is unfair Wale wa Bsc. in Mining Engineering Tuko mtu 45, 43Males and only 2 females this is UNFAIR!!!!!!
Daaaaa!!! this is unfair Wale wa Bsc. in Mining Engineering Tuko mtu 45, 43Males and only 2 females this is UNFAIR!!!!!!
duh!ndo unachokiwaza tu icho NingaR..!"