Sio mbaya tukijuana tuliochaguliwa udom, mi binafsi nitakua CoES petroleum engineering
bachelor of ed. in arts
pa1 bhana.
nawe ba. Ed?
Oyo mnaonaje tukiunda umoja wetu . Tunaupa jina la JF UDOM. Tutautumia kupeana support kwa mambo mbalimbali, studies na maisha ya kawaida. Guys itasaidia sana kwa sababu wengi tunaenda huko hatumjui mtu.
Kama wazo zuri basi tutumie thread hii kupanga mikakati.
NAWASILISHA.
Karibuni dodoma vijana wangu. Tutakuwa pamoja pande hizo.
Dah wakuu mbona ni boys pekee? Wale wenzetu siwaoni hapa isije ikawa hata uko chuo wakawa wa kuvizia.
Dah wakuu mbona ni boys pekee? Wale wenzetu siwaoni hapa isije ikawa hata uko chuo wakawa wa kuvizia.