Mwanza sales
Senior Member
- Nov 17, 2015
- 193
- 87
Tembeleeni email zenu, majibu yametumwa, niwatakie kila la heri
Naona ushindani ulikuwa mkubwa na wameconsider sana competency ya mwombaji ili kupunguza watuTembeleeni email zenu, majibu yametumwa, niwatakie kila la heriView attachment 2750763
Watu walioitwa ni wengi mno Tax management officer kwa kila nafasi moja 60 wanagombaniaNaona ushindani ulikuwa mkubwa na wameconsider sana competency ya mwombaji ili kupunguza watu
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Hiii huyu naye vipi? Nani kakuambia anasubiri? Kuomba Ajira kunakuzuia kufanya mambo mengine? Haya amekosa, Atakufa?Inasikitisha sana kuona kijana anapoteza muda kusubiri ajira serikalini.
Panueni medula hizo kitaani muda haurudigi nyuma
Kila la kheri kwenu
Inasikitisha sana kuona kijana anapoteza muda kusubiri ajira serikalini.
Panueni medula hizo kitaani muda haurudigi nyuma
Kila la kheri kwenu
Mbn hiyo registration # hazionekani kwenye account, au ni kwangu mie tu binafsi


SawaInasikitisha sana kuona kijana anapoteza muda kusubiri ajira serikalini.
Panueni medula hizo kitaani muda haurudigi nyuma
Kila la kheri kwenu
Hapo kuna sababu mbalimbali kama vyuo walizosoma na kuwa na CPAKuna mtu ako na GPA ya 4 lakini jina halijatoka shortlisted
Lakini wenye lower second majina yametokea kwenye shortlisted,
Hii inaingiaje akilini?
Hawaajiri GPA wanaangalia vitu vingi.Kuna mtu ako na GPA ya 4 lakini jina halijatoka shortlisted
Lakini wenye lower second majina yametokea kwenye shortlisted,
Hii inaingiaje akilini?
Hongera kwaoWengi walioomba hizo kazi wameshaajiriwa,wengine wameajiriwa serikalini kabisa!
Umesema vyema asikose kufanya mambo mengine ndipo point yako ilipoHiii huyu naye vipi? Nani kakuambia anasubiri? Kuomba Ajira kunakuzuia kufanya mambo mengine? Haya amekosa, Atakufa?
Ndugu inawezekana ume-graduate karibuni, kama sivyo basi uzoefu wako ni mdogo sana. Ukiachana na kazi za ukufunzi pengine na utafiti, hakuna sehemu GPA inazingatiwa kama kigezo cha mtu kupewa kazi.Kuna mtu ako na GPA ya 4 lakini jina halijatoka shortlisted
Lakini wenye lower second majina yametokea kwenye shortlisted,
Hii inaingiaje akilini?
In the first place ukiwa bado hujawa interview kigezo kikubwa cha kuchuja upate shortlisted ni GPA miongoni mwa waombaji.
Mwenye GPA kubwa anapaswa kupewa kipaombele when other things remain constant.
Huwezi kumuacha kwenye shortlisted mwenye first class ukamuweka Mwenyezi second class kwa sababu gani ya msingi Kwa mfano?
Haingii akilini hata kidogo.
Kuna mtu ako na GPA ya 4 lakini jina halijatoka shortlisted
Lakini wenye lower second majina yametokea kwenye shortlisted,
Hii inaingiaje akilini?