Wale wa Mwanza njooni hapa

Wale wa Mwanza njooni hapa

Pale ni pazuri tatizo ndio hilo kuvuka daily kwenda kuhudumia mifugo, nataka atleast liwe ndani ya mwanza bila kuvuka maji
Nauli ya feri siitakuwa sawa tu na huko nje ya mji unapokutaka?
 
Hivi shigongo hayumo humu amsaidie kijana kama yeye afanye ujasiliamali kama yeye maana maana ni mwalimi mzuri wa ujasiliamali
 
Back
Top Bottom