marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,199
- 435
Salamu zenu wakuu.
Mashamba ni mali inayopanda thamani siku zote,,hebu watu wa moro (mji kasoro bahari) tupeni information kuhusu bei ya ardhi huko,,ili wale wenye kitu kidogo watumie fursa hii kuimiliki nchi..na i weze kutumika kuliko kuwa idle..
Natanguliza shukurani zangu.
Mashamba ni mali inayopanda thamani siku zote,,hebu watu wa moro (mji kasoro bahari) tupeni information kuhusu bei ya ardhi huko,,ili wale wenye kitu kidogo watumie fursa hii kuimiliki nchi..na i weze kutumika kuliko kuwa idle..
Natanguliza shukurani zangu.