Aisee..kuna nini mkuuhamna kitu hapo.
pirates
Nyie ndo wa bongo moviehamna kitu hapo.
Aisee ile kitu ni nyoko sikuwahi kudhani akicheza movie ya vita anaweza....Kuna second in comand ya damme ni laana
Huyo jamaa kumbe anakula sembe?Huyo wa mwisho kulia ni van dame kachoshwa na ngada, kazeeka wakati ndio Mdogo kuliko wote hapo.
Say no to drugs!
Na ndio wanatusumbua na bashite mjini hawaNyie ndo wa bongo movie
Jean-Claude Van DammeWakwanza kushoto ni Dolf, wapili Rambo, watatu Arnold na wa mwisho ni ...... nitarudi kuangalia wengine mmetaja jina gani, siyo yote nitaje mimi@
Stalkone?Wote walifanya vema kuanzia JEAN CLAUDE VAN DAMME ARNOLD Schwarzenegger NA SYLVESTER STALKONE ila dolf alifanya vema kwn movie za kushirikishwa
Blood spotDah umenikumbusha "Blood Sports" ya Van Dam enzi hizo nimeinagalia kama mara 450 hivi
Dah umenikumbusha "Blood Sports" ya Van Dam enzi hizo nimeinagalia kama mara 450 hivi
StalloneAnold..picha zake za kibabe sana mkuu..huyo jamaa unamshikia BUNDUKI lakini ANAKWAMBIYA weka BUNDUKI CHINI.. kama huweki CHINI NAKUUA...jamaa namuelewa mno huyo..halafu SILVESTER STALOON...hao watu hatari mno kwenye maeneo yao....
...JEAN CLAUD VAN DAMEWakwanza kushoto ni Dolf, wapili Rambo, watatu Arnold na wa mwisho ni ...... nitarudi kuangalia wengine mmetaja jina gani, siyo yote nitaje mimi@