NakaziaKwa Dar Es Salaam vifaa vya kutengenezea (chemicals) vinapatikana wapi.
Mzalendo habari yako, kuna jamaa anakuhitaji kikazi nimekutumia detail inbox.usiwe na wasiwasi mkuu, itatoa
Hapa kuna baadhi ya chemicals wanauza nimepata pale mitaa ya kkoo. Panaitwa kwa Noor ni duka la wahindi.Nakazia
Shukrani MUTUYAMUNGUWelcome back mzalendo namba moja
Essential oil ni mafuta ya asili ya mimea na mazao ya mimea, mafuta haya huwa hayawekewi vitu va ziada kuyaongezea thamani...hivyo sifa yake ni uasili wake, hata harufu sio boosted ni Ile ya asili kabisa, Hali kadharika rangi Huwa ni ya asili kabisaSwali:
Essential oils ni nini na zipo za aina ngapi?
Majibu plz!
Unaweza kujisomea kuhusu aina zake, lakini Kwa length ya wingi wa mimea na products zake ndiyo wingi halisi wa essential oils..Essential oil ni mafuta ya asili ya mimea na mazao ya mimea, mafuta haya huwa hayawekewi vitu va ziada kuyaongezea thamani...hivyo sifa yake ni uasili wake, hata harufu sio boosted ni Ile ya asili kabisa, Hali kadharika rangi Huwa ni ya asili kabisa
Sawa mkuu. Kwa hiyo zote zinafaa kutengenezea dawa ya meno?Essential oil ni mafuta ya asili ya mimea na mazao ya mimea, mafuta haya huwa hayawekewi vitu va ziada kuyaongezea thamani...hivyo sifa yake ni uasili wake, hata harufu sio boosted ni Ile ya asili kabisa, Hali kadharika rangi Huwa ni ya asili kabisa
Exactly kabisa, though zingatia harufu zake pia, hivyo ningepewa nafasi ya kuchagua labda ningetumia hasa essentials za karafu..Sawa mkuu. Kwa hiyo zote zinafaa kutengenezea dawa ya meno?
Safi sana mkuuExactly kabisa, though zingatia harufu zake pia, hivyo ningepewa nafasi ya kuchagua labda ningetumia hasa essentials za karafu..