Wale wa Dar tupeane update za hii mvua

Wale wa Dar tupeane update za hii mvua

Arusha mvua inaendelea, jana kunadada wa jiran alishindwa kurudi kwao kwa kuhofia kubebwa na maji, niponaye geto na baridi ni kali sana
Kama bado maji hayajaisha endeleeni kujifungia tu hata makazini msiende
 
Huko Arusha unaambiwa hali ni tete mvua imeanza tisa usiku mpaka mida hii inamwagika tu.Ndugu yangu kanipigia simu ana hofu balaa.
Kwahiyo mvua inanyesha yeye ana hofu! Anahofia nini?
 
Mjini dsm kama kawaida
Kumejaa maji .....

Ova
 
Huku Mkuranga pande za Kimanzichana, Kilimahewa, Ngunja, Nyanduturu & Mkiu mvua ilianza toka jana saa 6 usiku yaani saizi ndio inaanza kukata
 
Back
Top Bottom