- Thread starter
- #41
Fukayosi ndio wapi?😳Kilometer kama 20 kutoka fukayosi!
Fukayosi ndio wapi?😳Kilometer kama 20 kutoka fukayosi!
Duh 🏃🏃🏃Fukayosi ndio wapi?😳
Dar kubwa sanaDuh 🏃🏃🏃
Unapajuwa kikokaDar kubwa sana
Ase mbona unaendelea kunivuruga? Kuna sehemu inaiywa Makoka nishaisikia.Unapajuwa kikoka
Sasa hivi mvua imekata,huwezi amini jinsi palivyokuwa asubuhiKimara kweupe kuna jua la kiama
Kikoka mkuuAse mbona unaendelea kunivuruga? Kuna sehemu inaiywa Makoka nishaisikia.