Wale wa burudani kazi kwenu

Wale wa burudani kazi kwenu

Joined
Mar 12, 2016
Posts
73
Reaction score
33

Kundi la muziki la Wapancras linalojumuisha wasanii ndugu, Mecrass na Payus, la Jijini Mwanza, limeachia wimbo mpya uitwao "Nitunzie Siri", wakimshirikisha Abuu Mkali.


Wimbo umetengenezwa pande za Vibe Nation & Quick Sound ikiwa ni mikono ya Producers, Aniwylee na Day Dream. Itafute BINAGI BLOG_BMG hiyo ngoma uisikie utamu wake
 
Wapi magadashi, wapi malyango mugeta, wapi kabago, wapi mbogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom