sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 8,678
- 9,374
wahenga walisema demu haji kifala kma ivyo unavyotakaMe nipo tu kwa bed na chat,njooni basi wadada mtufariji
wahenga walisema demu haji kifala kma ivyo unavyotakaMe nipo tu kwa bed na chat,njooni basi wadada mtufariji
Wanawake munao tafuta wanaume JF tumewachoka
Naona umeamua kujikana wewe mwenyewe aiseeee......
Tunasemaga, usitukane mamba kabla hauja vuka moto.
Ona sasa unavyo hangaika
Kumbe nawewe umeona eehhh......
Mimi nalala na njaa!Haya wadau karibu sana wale mabingwa wa kulala peke yetu on bed,karibuni tu share mambo
Niko me, myself and I, na wala sijioni mpweke I guess I love myself so much mpaka siwezi kuji share! Hahahaha
ukuje hapaNipo
Kulala peke yako wakati mwingine ni raha ya nini kubananaNa wewe unalala peke yako mkuu ?
Nipo hapaMimi natafuta mdada anae lala mwenyewe.......
Raha ipo wapi Sasa??? Yan wewe kila kitu upo opposite .....Sometimes kulala peke yako raha kweli
aaaaa bhanaa sasa nisijisemee ukweli wanguRaha ipo wapi Sasa??? Yan wewe kila kitu upo opposite .....
Nakuangalia kimya kimya tuu