simpasa 202
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 297
- 202
Upweke nap shida,,, ila mazoea yana raha yake
Unalala mwenyewe na weweNipo 🙂
Kwa mahesabu hayo.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]Itakuwa nyie hamjazoea kulala peke yenu !!! Mwaka wa 26 huu nalala peke angu yani 18+26 na bdo nastahimili
Kumbe tuko wengi hahahaha!Mi nalalaga na pc yangu na cm so I'm not lonely jamani
Nifungulie!Nipo mwenyewd hapa, nimezima taa kwa mbali naona Kitu cheupe km kanzu aseee moyo unadunda mana naona km kinahama vile. SERIOUS
Mkuu unanitakia nn, yan leo Geto n lang lkn nimesahau hata kitanda kipo upande ganiView attachment 521010
Nifungulie!
Heeeee!![emoji15]Eee mbwiyangu
Daktari wa nini tena asee ....!! Hivi ni wanawake wanaohitaji kuwezeshwa au me ??? Siamini kama bila ke maisha hayaendi !!Its just a matter of mentality tu mkuuKwa mahesabu hayo.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Unapaswa ukaonane na daktari aiseeeeee
Hahahaha kazi kweli kweliMkuu unanitakia nn, yan leo Geto n lang lkn nimesahau hata kitanda kipo upande gani
4G [emoji556] [emoji134]Tunaumia ikifika alfajiri, mnara unakuwa unashika vizuri mbaya mno .
Lala na fupa la kitimoto mkuu, wala hutaona kanzu nyeupe wala kizibao!![emoji23] [emoji23] [emoji23]Nipo mwenyewd hapa, nimezima taa kwa mbali naona Kitu cheupe km kanzu aseee moyo unadunda mana naona km kinahama vile, Mshana JR njoo utimue hawa wenzako asee. SERIOUS
Nakwambia a nifungulie anakimbia! HahahahaLala na fupa la kitimoto mkuu, wala hutaona kanzu nyeupe wala kizibao!![emoji23] [emoji23] [emoji23]