Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,117
Wakuu leo nimeona tujuane wale ambao tumewahi kutusua katika elimu ya bongo, yaani tulipata division one katika mitihani ya Taifa aidha wa O-level au A-level.
Kama uliwahi kupata division one A-level sio mbaya ukatutajia na kombinesheni uliyosoma ili kusudi tujuane na tuwahamasishe wadogo zetu wanaosoma kwa kutoa mbinu zilizopelekea tukapata hizo division one.
Karibuni kwa mjadala...
Kama uliwahi kupata division one A-level sio mbaya ukatutajia na kombinesheni uliyosoma ili kusudi tujuane na tuwahamasishe wadogo zetu wanaosoma kwa kutoa mbinu zilizopelekea tukapata hizo division one.
Karibuni kwa mjadala...