Leroy Tiyane
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 280
- 386
lete ya binamuDah mkuu ngoja nishare kastory kangu kuhusu huu mseleleko wa wadada wa Kazi, mwaka 2011 nilikua kidato cha upili huko mkoani Tabora basi pale nyumbani kwetu b mkubwa alikua na vitega uchumi kibao ambavyo vyote ilimlazimu kuleta mabinti wa 3 na mmoja wa ndani basi room yangu ilikua kwa nje Yaani vyumba vya uwani
Basi kwa vile nilikuwa mjanja mjanja na utamu wa dadaz nilianzishwa kupewa na Binamu yangu kipindi hiko basi nikawa nawala tu bila kuogopa chochote
Ikafika siku ambayo nilipatwa na aibu ya ukoo bhanaaa siku yenyew nimempanga dadaz mapema tu na akachomoa kumbe alikua kwenye plani ya kuliwa na bro wangu japo sikujua mpka wakati huo kua tuko share
Usiku ukafika nikajitosa kwa dadaz mwngine wakati huo ye ndo Kwanza alikua mgeni hata mwezi hajamaliza pale Home akakubali kimtindo lakin akanambia nisiambie mtu nikasema poa haina shida
Usiku akatokea room kwangu basi kwa vile alikua mkubwa kwangu akaanza kunipeleleza kua nmewezaje kumuomba game na mengne kama mazingira ya pale home
Ikapita muda nikaanza kuandaa mazingira ya kula mzigo asee huezi amin yule dadaz alikua na majini yakaanza vurugu zao mixer mikelele na kujigongesha ukutani kwa nguvu
Mara ghafla room kwa bro napo yule dadaz alionikazia chezo nae akaamsha mashetani yake na kuanza kutaja watoto wawili ambao n mm na bro kua ni wachafu mno ushuhuda ukawa mwingi mno asee akawa anasema mpka dadaz wengne ambao tayar nmefanya nao
Toka apo kipigo nikapata na nikapelekwa na boarding ukawa ndio mwisho wa kula dadaz mpka hii Leo
Note: usiombe ukutane na demu mwenye majini wakati mnafanya akapandisha wadudu wake utajutaaa asee ..