Hahahahaa, mkuu hapo hukawii kujitungia swali. Kuna jamaa mmoja tulisoma naye pepa ilimtoa mwanzo mwisho. Kilichofuata ni jamaa akajitungia maswali yake na kisha akayasolve vizuuuri.
Kuja kurudishiwa pepa, ticha kamuuliza. Akamwambia sasa ticha hivyo nilivyoaolve ndo nilivisoma, na wewe hjjatoa niliposoma. Si ningepata zero, nimfanya hivyo ili uone namna ulivyonipiga chenga.
Watu wote tuliangua vicheko, mwalimu akampa 20%