Mkuu logic gates hapo ilikuwa bado hujamaliza Electronics. Hahahaaaha, ngoma ilikuwa inaendelea kwenye Bistable, Monostable na Astable multivibrators. Uchore sakiti zake na uelezee. Ukitoka hapo unaingia katika OPAMP, hujakaa sawa unarudishwa katika calulations za oscilators na amplifire. Kisha ndo unaachiwa upumue katika hivyo vilogic gates.
Dah ila tumeteseka sana aisee. Huku ukiangalia hakuna guide sylabus toka wizara, wala hakuna kitabu official cha wizara, kila mtu anasoma anachojua yeye.