ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,035
- 49,717
Kiujumla nilichukulia masomo ya chuo simple simple sikuwa nakaza nilikuwa bize na siasa na maswala mengine,kingine niliingiza mawazo ya kuwa hakuna ajira so morale ya kusoma ikapotea,nilikuwa overconfidence sana no discussion na mtu na ishu nyingine,kuanzia second year masomo karibu yote ya uchumi ni mahesabu magumu na mie sikuwa na base nzuri ya mathematics so ikazidi kunifrustrate japo sikuwaza kama ningedisco maana nilikuwa najiamini sana hadi Leo sijui ilitokeajeMkuu ulikua hupigi msuli sana nini? Nina jamaa yangu mmoja alikua kipanga haswa o level na advance kote kapiga one ila chuo akawa hahudhurii vipindi , anasoma karibia na mitihani akaja kudisko ila angesoma natumaini angepata gpa kubwa sana. Pole sana kaka masomo yalikua magumu au? Maana na sisi tupo hapo hapo ud tupe info yasitukumbe na sisi