Kijana Wa Dar
Member
- Sep 22, 2016
- 98
- 215
Mimi nilichaguliwa UDOM Bsc in Computer Engineering mwaka 2013 na nisiwe muongo tu wakuu nilikuwa mzembe sana kipindi nipo chuo. Nilikuwa siingii class, yani me ni mtu wa Town tu Mara Jamatini, Mara nipo zangu Capetown pub pale karibu na stand ya mkoa.
Wakuu hakuna chimbo la Malaya pale Dodoma sikulijua, sio CDA wala Chakochako kote huko nilifika. Kwangu Mimi niliamini kudisco ni story tu nikasema lazima nimalize.
Wakuu Kwa mshangao mkubwa sikuamini baada ya kufungua UDOM SR yangu nikakuta Nina GPA ya 1.1 hivyo sikufika hata GPA ya 1.8 ya kufanyia supplementary hivyo nikutana na red ikisema discontinuation .
Nilipatwa na mshangao mkubwa kutokana na mawazo yangu yote kuwa kufaulu O-Level na A-Level Kwa kiwango kikuu kungenipa kinga kuendelea kubaki chuo.
Utabe wangu wa Azania O-Level maana nilitoka na div 1.12 na advance mzumbe div 1.8 haukuweza kunifanya nimudu masomo ya chuo.
Karibuni
Wakuu hakuna chimbo la Malaya pale Dodoma sikulijua, sio CDA wala Chakochako kote huko nilifika. Kwangu Mimi niliamini kudisco ni story tu nikasema lazima nimalize.
Wakuu Kwa mshangao mkubwa sikuamini baada ya kufungua UDOM SR yangu nikakuta Nina GPA ya 1.1 hivyo sikufika hata GPA ya 1.8 ya kufanyia supplementary hivyo nikutana na red ikisema discontinuation .
Nilipatwa na mshangao mkubwa kutokana na mawazo yangu yote kuwa kufaulu O-Level na A-Level Kwa kiwango kikuu kungenipa kinga kuendelea kubaki chuo.
Utabe wangu wa Azania O-Level maana nilitoka na div 1.12 na advance mzumbe div 1.8 haukuweza kunifanya nimudu masomo ya chuo.
Karibuni