Wale tuliochaguliwa TIA-DSM tukutane hapa

Wale tuliochaguliwa TIA-DSM tukutane hapa

Tmatimba

Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
66
Reaction score
10
Heshima Kwenu wakuu,

Hatimaye Nacte wanazidi kuachia majina kupitia vyuo husika, hulka yetu yakujua umepata au la sasa imeisha.

Kwa wale wanaokifahamu chuo hiki cha TIA hasa main campus DSM naomba kujua kuhusu upatkanaji wa hostel hasa vgezo na gharama zao. Lakini pia namna ya kupata admission letter

Natanguliza shukrani
 
Karibu sana,vyumba vinapatikana kwa ndani na nje ya chuo,admiration latter zinapatikana kwenye tovuti ya chuo
 
Back
Top Bottom