WALE Ni makomando au ? Ukweli Ni upi?

WALE Ni makomando au ? Ukweli Ni upi?

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,966
Salaaam Sana. Ama baada ya Salam

Naomba kufahamishwa Jambo hili kwa anayefahamu.

Katika mikutano /ziara / hotuba za RAISI wetu wa Jamhuri ya muungano Kuna walinzi weengi ambao humzunguuka. Ila ambao ninataka kuwafahamu zaidi Ni hawa.

1. Mwanajeshi aliyemsimamia nyuma (nawewe umekaa Sana nyuma yangu unachangia ngapi?)

2. Mlinzi anayevaa kiraia (suti) anakaa upande wake wa kulia.

3. Wanajeshi ambao wanakuwa wamesimama na bunduki fupi fupi, Wana kombat za rangi Kama za nchi za mbali hivi ( TOFAUTI na zile za JWTZ)


Je? Ni kweli Hawa watu Ni MAKOMANDO?
Nilimuuliza mtu mmoja akasema kuwa Ni makomando Tena hatari Sana.


Je nikweli au nimedanganywa?

Kwa mwenye kujua tafadhali
 
Salaaam Sana. Ama baada ya Salam

Naomba kufahamishwa Jambo hili kwa anayefahamu.

Katika mikutano /ziara / hotuba za RAISI wetu wa Jamhuri ya muungano Kuna walinzi weengi ambao humzunguuka. Ila ambao ninataka kuwafahamu zaidi Ni hawa.

1. Mwanajeshi aliyemsimamia nyuma (nawewe umekaa Sana nyuma yangu unachangia ngapi?)

2. Mlinzi anayevaa kiraia (suti) anakaa upande wake wa kulia.

3. Wanajeshi ambao wanakuwa wamesimama na bunduki fupi fupi, Wana kombat za rangi Kama za nchi za mbali hivi ( TOFAUTI na zile za JWTZ)


Je? Ni kweli Hawa watu Ni MAKOMANDO?
Nilimuuliza mtu mmoja akasema kuwa Ni makomando Tena hatari Sana.


Je nikweli au nimedanganywa?

Kwa mwenye kujua tafadhali
Bouy ni mchanganyiko ila hapo kuna CDO ( katika ubora wao aka komando)
 
Kikosi maalumu cha ulinzi wa rais. Sio lazima wawe ni makomando. Wengine ni wanajeshi wa kawaida wenye mafunzo hayo
Salaaam Sana. Ama baada ya Salam

Naomba kufahamishwa Jambo hili kwa anayefahamu.

Katika mikutano /ziara / hotuba za RAISI wetu wa Jamhuri ya muungano Kuna walinzi weengi ambao humzunguuka. Ila ambao ninataka kuwafahamu zaidi Ni hawa.

1. Mwanajeshi aliyemsimamia nyuma (nawewe umekaa Sana nyuma yangu unachangia ngapi?)

2. Mlinzi anayevaa kiraia (suti) anakaa upande wake wa kulia.

3. Wanajeshi ambao wanakuwa wamesimama na bunduki fupi fupi, Wana kombat za rangi Kama za nchi za mbali hivi ( TOFAUTI na zile za JWTZ)


Je? Ni kweli Hawa watu Ni MAKOMANDO?
Nilimuuliza mtu mmoja akasema kuwa Ni makomando Tena hatari Sana.


Je nikweli au nimedanganywa?

Kwa mwenye kujua tafadhali
 
Wale ni kikosi maalum cha ulinzi wa raisi, ni kitengo maalum kwa ulinzi wa viongozi hasa wale top kabisa. Wanapata mafunzo maalum ya ulinzi wa viongozi.
 
Kombati ana cheo kwa ranks za jeshini (JWTz)...

Na mwenye suti ana cheo kwa ranks za TISS...

Hizi ni taasisi mbili tofauti, moja ikiwa ni walinzi wa nchi na wengine ni makachero/majasusi...

Kimsingi Rais wa nchi hulindwa na layers nyingi sana za ulinzi, miongoni mwa wale watu unaoona wanashangilia kuna walinzi pia n.k...
Mimi nataka kujua kati ya mwenye suti na mwenye kombati nani anacheo kikubwa?
 
Back
Top Bottom