Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,302
- 9,809
- Thread starter
- #21
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu usiombe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti limeni furia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu usiombe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti limeni furia.
Hahahahaha noma mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu usiombe [emoji23][emoji23][emoji23]
na wewe unakataa ndoa?Nasikia ndio wanavyokuwaga hivyo mwanzoni mwanzoni ili wakuweke wavuni
Jiroge uoe sasa,hakuna rangi utaacha kuona....yaani hautaacha kusema
na wewe unakataa ndoa?
aisee
Halafu ukiishamuoa tu, baada ya wiki unaanza kutamani Binti wa jirani.Aiseee Morning Glory wanandoaa!
Basi bwana week yote hii uku kwetu Mbeya Vijijini nimetembelewa na Mama yenu mdogo wengine Bibi yenu wengine Shemeji yenu na wengine wifi yenu na Wengine Lishangazi lenu. Sasa napewa yote kila mahali jikoni ni twaa twaa chooni ni twaa twaa sebuleni twaa sijawahi kukiexpirence ichi kitu wanandoa mnafaidi sana sana.
N.B Next week naenda kutoa mahali kwao Tanga-Handeni barabara ya Saba Kwa Mgosi.
Haaaaaaah mkuu niombee tu nitoboe kwenye hii safariOyaa bro,nimekaa pale nakungoja uje tuongee lugha moja
Sawa mzee Makaveli Mkuchi ngoja nioe Kwanza huyu mdada naona ananifaa sanaKaribu kwenye chama.
Kila mtu aishi maisha yake, unachopata wewe, sio apatacho mwenzio, hivyo usimcheke asiyetaka ndoa, kila mtu ana tafsiri yake.
Kubwa zaidi, usiolee AKILI ZA NYEGE
Ndoa ni taasisi takatifu sana na ieshimiwe na watu wote karibu nitakupa kadi ya ubwabwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndoa ni baraka asante kwakukataa shetani na mambo yake yote nafurahi wewe umechagua jambo jema so kapambanie kombe uoe . Mwanamke ni mwanamke tu lazima waoelewe mkajaze dunia . Hii ya kuwa single na kupata uti ni mbaya sana bora uishi kwa kujiachia watu wote wajue
Hamna bhana siwezi huyu atanifunga sana namuona muda wote nitakuwa busy naeHalafu ukiishamuoa tu, baada ya wiki unaanza kutamani Binti wa jirani.
Mkuu niombee tu bhana nitoboe najua hawezi kubadilikaNasikia ndio wanavyokuwaga hivyo mwanzoni mwanzoni ili wakuweke wavuni
Jiroge uoe sasa,hakuna rangi utaacha kuona....yaani hautaacha kusema
Nasikia ndio wanavyokuwaga hivyo mwanzoni mwanzoni ili wakuweke wavuni
Jiroge uoe sasa,hakuna rangi utaacha kuona....yaani hautaacha kusema
Tena ikifanyika kule usambaani nitakujaNdoa ni taasisi takatifu sana na ieshimiwe na watu wote karibu nitakupa kadi ya ubwabwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunza KibundaKuwa makini, tumia akili na tunza kibunda chako